
MAXIMO AWASILI, COUTINHO KESHO
VIEWED 4882 TIMES
Kocha Mbrazil Marcio Marcel Maximo tayari ameshawasili jijini Dar es salaam kwa ajili ya kuanza kazi kukinoa kikosi cha timu ya Young Africans kwa ajili ya msimu ujao kwenye mashindano ya Ligi Kuu ya Vodacom pamoja na mashindano ya Kimataifa.
Read more...








