You are here: Home NEWS Local News

Local News

News

YANGA Vs ARMINIA BIELFED KESHO

VIEWED 1162 TIMES
Timu ya Yanga kesho itashuka dimbani kucheza mchezo wa kirafiki na tim ua Arminia Bielefeld ya Ujerumani katika mchezo utakaofanyika mjini Antalya majira ya saa 10 kamili jioni kwa saa za Afrika Mashariki na Kati
Last Updated on Friday, 04 January 2013 15:41

Read more...

 

News

YANGA KUIVAA ARMINIA BIELEFELD JUMAMOSI

VIEWED 1525 TIMES
Timu ya Young Africans Sports Club yenye makao makuu yake jijini Dar es salaam nchini Tanzania siku ya jumamosi itashuka dimbani kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya Arminia Bielefeld ya kutoka nchini Ujerumani, mchezo utakaofanyika katika mji wa Antalya.
Last Updated on Friday, 04 January 2013 22:37

Read more...

 

News

YANGA YAENDELEA KUJIFUA

VIEWED 1251 TIMES
Kikosi cha Young Africans Sports Club kimeendelea na mazoezi yake leo katika uwanja wa Fame Residece Football uliopo Antalya kisha jioni timu ikaenda kufanya mazoezi katika ufukwe wa bahari, eneo lililopo nyuma ya hoteli Fame Residence ikiwa ni siku ya tatu katika ziara ya mafunzo nchini Uturuki kujiandaa na mzunguko wa pili wa ligi kuu ya Vodacom.
Last Updated on Wednesday, 02 January 2013 22:05

Read more...

   

News

WACHEZAJI WAFURAHIA KAMBI

VIEWED 1300 TIMES

Wachezaji na bechi la ufundi la timu ya Young Africans wamefurahishwa na hali ya kambi hapa katika mji wa Antalya kwamba hali ya hewa ni nzuri, vyakula aina zote vinapatiikana na huduma za mazoezi kwa ajili ya kambi ni za kiwango cha juu sana.

Last Updated on Tuesday, 01 January 2013 15:26

Read more...

 

News

YANGA YAANZA MAZOEZI

VIEWED 1444 TIMES

Young Africans Sports Club imeanza mazoezi leo asubuhi katika viwanja vya Fame Footballl vilivyopo pemebni kidogo mwa hoteli ya Fame Residence Lara & Spa iliyopo kusini mwa mji wa Antalya ambapo imeweka kambi ya mafunzo ya wiki mbili.

Last Updated on Monday, 31 December 2012 20:16

Read more...

   
  • FACEBOOK PAGE

  • TWITTER FEEDS

yanga1935: I posted 12 photos on Facebook in the album "Mazishi ya Hamza Said (Zola)" http://t.co/c03XqvTBUK
yanga1935: Mamia ya wanachama, wapenzi na mashabiki wa soka leo jioni wameshiriki katika safari ya mwisho ya kuusindikiza... http://t.co/j9a41B4NIH
yanga1935: Aliyekuwa mfanyakazi wa klabu ya Yanga katika idara ya utumishi (sekretarieti) Hamza Said al maarufu kama Zola au... http://t.co/ISNtyXGIRb
yanga1935: Hamza Said (Zola, Chiluba) amefariki leo alfajiri kwa ajali ya kugongwa na gari. Zola alikuwa mfanyakazi wa Yanga SC http://t.co/DdbGYuqnRH
yanga1935: TANZIA: Uongozi wa klabu ya Yanga unasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi Hamza Said almaarufu kama Zola au... http://t.co/ZWs9NdGmqe
yanga1935: "Pisha pisha Yanga inapita, Pisha Njia Yanga inapita, Pisha pisha Mabingwa wanapita" Hivyo ndivyo washabiki,... http://t.co/QOJDmCM8ys
yanga1935: Mpira umemalizika, Ruvu Shooting 0 - 1 Young Africans Kiiza dkk 48
yanga1935: Dakika ya 80, Young Africans inafanya mabadiliko anaingia Didier Kavumbagu kuchukua nafasi ya Nizar Khalfani aliyeumia
yanga1935: Dakika ya 75, Ruvu Shooting 0 - 1 Young Africans
yanga1935: Dakika ya 60, Ruvu Shooting 0 - 1 Young Africans
yanga1935: Dakika ya 48, Hamis Kiiza anaipatia Young Africans bao la kwanza Ruvu Shooting 0 - 1 Young Africans
yanga1935: Kipindi cha pili cha mchezo kimeanza, Ruvu Shooting 0 - 0 Young Africans
yanga1935: Mpira ni mapumziko, Ruvu Shooting 0 - 0 Young Africans
yanga1935: Dakika ya 30, Ruvu Shooting 0 - 0 Young Africans
yanga1935: Dakika ya 15, Ruvu Shooting 0 - 0 Young Africans
yanga1935: Mpira ndio umeanza hapa Uwanja wa Taifa kati ya Ruvu Shooting Vs Young Africans
yanga1935: Here's Young Africans line-up to face Ruvu Shooting today: 1.Ally Mustafa 'Barthez' 2.Juma Abdul 3.Oscar Joshua... http://t.co/IFGj2qf2q5
yanga1935: Saturday Vodacom Premier League 2012/2013 Young Africans Vs Ruvu Shooting Venue: National Stadium Time: 16:00hrs... http://t.co/KtXaFTlNDD
yanga1935: I posted 2 photos on Facebook in the album "Yanga SC wakisoma Dua" http://t.co/dvBpNuoXeA
yanga1935: Ikiwa inaongoza msimamo wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kwa kuwa na pointi 45, timu ya Young Africans kesho itashuka... http://t.co/gL3YKmmsON
yanga1935: Mlinzi wa kati wa timu ya Young Africans Ladislaus Mbogo anaendelea vizuri baada ya jana kufanyiwa upasuaji wa... http://t.co/1rcHnFSUZ6
yanga1935: Timu ya Young Africans leo imeingia kambini katika hosteli zilizopo makao makuu ya klabu mitaa ya Twiga/Jangwnai... http://t.co/AWJwjt4Dud
AddThis Social Bookmark Button
mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday926
mod_vvisit_counterYesterday2319
mod_vvisit_counterThis week3245
mod_vvisit_counterLast week14464
mod_vvisit_counterThis month36331
mod_vvisit_counterLast month50671
mod_vvisit_counterAll days402768

We have: 23 guests, 2 bots online
Your IP: 207.241.237.238
Mozilla 5.0, 
Today: Mar 19, 2013