You are here: Home NEWS Local News

Local News

News

YANGA KUWAVAA WACOMORO JUMAMOSI

VIEWED 2480 TIMES

Wawakilishi wa Tanzania bara kwenye mashindano ya klabu Bingwa barani Afrika timu ya Young Africans itashuka dimbani siku ya jumamosi kuivaa timu ya Komorozine de Domoni ya Visiwa vya Comoro katika mchezo wa hatua ya awali ya Klabu Bingwa barani Afrika.

Last Updated on Wednesday, 05 February 2014 14:12

Read more...

 

News

YANGA YAICHAPA 1-0 MBEYA CITY

VIEWED 3626 TIMES

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans leo imevunja mwiko wa timu ya Mbeya City kucheza michezo ya Ligi bila kufungwa baada ya kuichapa bao 1-0 katika mchezo uliofanyika katika dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Last Updated on Sunday, 02 February 2014 19:40

Read more...

 

News

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

VIEWED 3757 TIMES
Hivi karibuni kumekuwa na madai ya kutoridhishwa na mwenendo wa timu, taarifa za hujuma ndani ya timu yetu ya mpira, uongozi na baadhi ya wanachama.
Ni haki na ni kwa nia njema tu ya wanachama kuhoji mwenendo wa timu yao pale wanapoona-hairidhishi, Ni wajibu wa wanachama kuchanganua mawazo mema na mabaya.
Last Updated on Saturday, 01 February 2014 13:25

Read more...

   

News

YANGA KUIVAA MBEYA CITY

VIEWED 1779 TIMES

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans kesho siku ya jumapili itashuka dimbani kuivaa timu ya Mbeya City FC kutoka jijini Mbeya katika muendelezo wa michezo ya mzunguko wa pili, mechi itakaofanyika katika dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Last Updated on Saturday, 01 February 2014 10:02

Read more...

 

News

MKWASA - NIYONZIMA, CANNAVARO HAWAKUPIGANA

VIEWED 2810 TIMES

Benchi la Ufundi la klabu ya Young Africans limesikitishwa na taarifa zilizoenea kwenye baadhi ya vyombo vya habari kwamba wachezaji wa Young Africans kiungo Haruna Niyonzima na nahodha Nadir Haroub "Cannavaro" walipigana katika mchezo dhidi ya Coastal Union siku ya jumatano jijini Tanga kuwa hazina ukweli wowote bali ni katika kutaka kuharibu twasira ya timu.

Last Updated on Friday, 31 January 2014 14:08

Read more...

   

Facebook Twitter YouTube
  • FACEBOOK

  • TWITTER

mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday1316
mod_vvisit_counterYesterday11260
mod_vvisit_counterThis week20305
mod_vvisit_counterLast week35641
mod_vvisit_counterThis month75895
mod_vvisit_counterLast month188334
mod_vvisit_counterAll days1464618

We have: 96 guests, 3 bots online
Your IP: 207.241.237.221
Mozilla 5.0, 
Today: Feb 14, 2014