
BENO, MAGARI WAULA YANGA
VIEWED 3108 TIMES
Mwenyekiti wa Young Africans Yusuf Manji leo amemtambulisha rasmi Bw. Beno Njovu kuwa katibu mkuu mpya wa klabu akichukua nafasi ya Lawrence Mwalusako aliyekua kaimu katibu mkuu kwa kipindi cha mwaka mmoja.
Last Updated on Tuesday, 10 December 2013 15:07




















