
OKWI KUTUA LEO SAA 9:30
VIEWED 1953 TIMES
Mshambuliaji wa kimataifa kutoka nchini Uganda Emmanuel Okwi anatarajiwa kutua leo mchana majira ya saa 9:30 katika uwanja wa ndege wa Mwalimu JK Nyererer akitokea nchini Uganda kwa shirika la ndege la Rwanda.
Last Updated on Thursday, 19 December 2013 13:43



















