You are here: Home NEWS Local News

Local News

News

Asamoah,Berko waenda mapunzikoni.

ARTICLE HITS: 750 TIMES

Wachezaji wa kimataifa kutoka nchini Ghana, Kenneth Asamoah na Yaw Berko wameondoka jijini Dar es Salaam alfajiri ya leo kwenda nchini Ghana kwa ajili ya mapunziko ya muda mfupi. Wachezaji hao wameondoka baada ya Uongozi wa mabingwa wa soka kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati kutoa mapunziko ya wiki tatu kabla ya kuingia katika hatua nyingine ya mzunguko wa ligi kuu pamoja na michuano ya kimataifa inayoikabili Klabu ya Yanga ikiwemo mashindano ya Klabu Bingwa barani Afrika na michuano ya Kombe la Kagame. Akizungumza na www.youngafricans.co.tz , Afisa Habari wa Klabu ya Yanga,

Last Updated on Saturday, 12 November 2011 09:56

Read more...

 

News

UHAI CUP kuanza tarehe11/11/11 katika Uwanja wa Azam FC - Mbande

ARTICLE HITS: 651 TIMES

Ligi ya vijana chini ya miaka 20 UHAI CUP inatazamiwa kuanza tarehe 11/11/11 katika Uwanja wa Azam FC - Mbande.
Ligi hiyo itashirikisha jumla ya timu 14 ambazo timu zao za wakubwa zinashiriki ligi kuu Tanzania Bara, timu hizo ni:
1.Young Africans B ,
2.Simba SC B,
3.Azam SC B,
4.Mtibwa Sugar B,
5.JKT Oljoro B,
6.Villa Squad B,
7.Moro United B,
8.African Lyon B,
9.Coastal Union B,
10.JKT Ruvu B,

Last Updated on Saturday, 12 November 2011 09:56

Read more...

 

News

YANGA KUIVAA POLISI DODOMA

Kikosi cha mabingwa wa ligi kuu Tanzania Bara leo kinatarajiwa kushuka dimbani kucheza na Police Tanzania katika mchezo wa ligi kuu ya VPL 2011/2012.
Mchezo huo utakuwa ni kumalzia mzunguko wa kwanza kwa timu zote amabapo Yanga ina point 24 ikiwa na nafasi ya pili na Police Tanzania ni ya 13 ikiwa na point 9.

Last Updated on Saturday, 05 November 2011 12:17

Read more...

   

News

22 WAITWA TAIFA STARS KUIVAA CHAD

KOCHA Mkuu wa Taifa Stars, Jan Poulsen leo ametangaza kikosi cha wachezaji 22 kwa ajili ya mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia dhidi ya Chad itakayochezwa Novemba 11 mwaka huu jijini N’Djamena. Mchezaji aliyeitwa kwa mara ya kwanza ni kipa Mwandini Ally wa Azam huku pia akimjumuisha kwenye kikosi chake mshambuliaji wa timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 20 (Ngorongoro Heroes), Thomas Ulimwengu. Last Updated on Saturday, 05 November 2011 12:19

Read more...

 

News

Mwape apeleka kilio msimbazi

Mchezaji wa kimtaifa kutoka nchini Zambia Davies Mwape leo ameibuka shujaa baada ya kupeleka kilio Msimbazi, kwa kufunga bao moja na la ushind kwa timu yake ya Young Africans. Last Updated on Wednesday, 02 November 2011 08:00

Read more...

   

Facebook Twitter YouTube
  • FACEBOOK

  • TWITTER

mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday1560
mod_vvisit_counterYesterday11260
mod_vvisit_counterThis week20549
mod_vvisit_counterLast week35641
mod_vvisit_counterThis month76139
mod_vvisit_counterLast month188334
mod_vvisit_counterAll days1464862

We have: 110 guests, 3 bots online
Your IP: 207.241.237.102
Mozilla 5.0, 
Today: Feb 14, 2014