
YANGA KUTOSHIRIKI MAPINDUZI
VIEWED 2971 TIMES
Uongozi wa klabu ya Young Africans umewasilisha barua rasmi kwa ZFA kutoshiriki mashindano ya kombe la Mapinduzi yanayotarajiwa kuanza kutimua vumbi kesho Januari Mosi 2014 Visiwani Zanzibar katika miji ya Unguja na Pemba kutokana na kuamua kulivunja benchi nzima la Ufundi.
Last Updated on Tuesday, 31 December 2013 17:30





















