You are here: Home NEWS Local News

Local News

News

AddThis Social Bookmark Button

UHAI CUP kuanza tarehe11/11/11 katika Uwanja wa Azam FC - Mbande

ARTICLE HITS: 394 TIMES

Ligi ya vijana chini ya miaka 20 UHAI CUP inatazamiwa kuanza tarehe 11/11/11 katika Uwanja wa Azam FC - Mbande.
Ligi hiyo itashirikisha jumla ya timu 14 ambazo timu zao za wakubwa zinashiriki ligi kuu Tanzania Bara, timu hizo ni:
1.Young Africans B ,
2.Simba SC B,
3.Azam SC B,
4.Mtibwa Sugar B,
5.JKT Oljoro B,
6.Villa Squad B,
7.Moro United B,
8.African Lyon B,
9.Coastal Union B,
10.JKT Ruvu B,

Last Updated on Saturday, 12 November 2011 09:56

Read more...

 

News

YANGA KUIVAA POLISI DODOMA

Kikosi cha mabingwa wa ligi kuu Tanzania Bara leo kinatarajiwa kushuka dimbani kucheza na Police Tanzania katika mchezo wa ligi kuu ya VPL 2011/2012.
Mchezo huo utakuwa ni kumalzia mzunguko wa kwanza kwa timu zote amabapo Yanga ina point 24 ikiwa na nafasi ya pili na Police Tanzania ni ya 13 ikiwa na point 9.

Last Updated on Saturday, 05 November 2011 12:17

Read more...

 

News

AddThis Social Bookmark Button

22 WAITWA TAIFA STARS KUIVAA CHAD

KOCHA Mkuu wa Taifa Stars, Jan Poulsen leo ametangaza kikosi cha wachezaji 22 kwa ajili ya mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia dhidi ya Chad itakayochezwa Novemba 11 mwaka huu jijini N’Djamena. Mchezaji aliyeitwa kwa mara ya kwanza ni kipa Mwandini Ally wa Azam huku pia akimjumuisha kwenye kikosi chake mshambuliaji wa timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 20 (Ngorongoro Heroes), Thomas Ulimwengu.
Last Updated on Saturday, 05 November 2011 12:19

Read more...

   

News

Mwape apeleka kilio msimbazi

Mchezaji wa kimtaifa kutoka nchini Zambia Davies Mwape leo ameibuka shujaa baada ya kupeleka kilio Msimbazi, kwa kufunga bao moja na la ushind kwa timu yake ya Young Africans.
Last Updated on Wednesday, 02 November 2011 08:00

Read more...

 

News

AddThis Social Bookmark Button

YANGA NA SIMBA UWANJA WA TAIFA

Kikosi cha Mabingwa wa Afrika Mashariki na Kati na Ligi Kuu Tanzania Bara Young Africans Sports Club, kesho tarehe 29 oktoba 2011 itashuka dimbani katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam kuikaribisha timu ya Simba katika mchezo wa ligi Tanzania bara (VPL). Mchezo huo unatarajiwa kuwa mzuri kutokana na Young Africans kuhitaji ushindi ili kuweza kupunguza tofauti ya pointi baina yake na Simba, Simba inaongoza ligi ikiwa na point 27 ikifuatiwa na Young Africans yenye 21. Kocha mkuu wa Young Africans Kostadian Papic amesema wachezaji wote ni wapo fit na ari ya mchezo, hakuna majeruhi hata mmoja. Mashabaiki wapenzi na wanachama mnaombwa kujitokeza kwa wingi kuishangilia timu yenu
Last Updated on Wednesday, 02 November 2011 08:27
   
  • FACEBOOK PAGE

  • TWITTER FEEDS

yanga1935: Baada ya kutoa sare ya bao 1-1 dhidi ya timu ya maafande wa jeshi la Mgambo mjini Tanga, timu ya Young Africans... http://t.co/0cGkMCuls4
yanga1935: Timu ya Young Africans imetoka sare ya bao 1-1 dhidi ya timu ya Mgambo Shooting ya mjini Tanga katika mchezo... http://t.co/7ixZ5SvQt3
yanga1935: Mpira umemalizika, Mgambo Shooting 1 - 1 Young Africans Msuva dkk 87
yanga1935: Dakika ya 87, Saimon Msuva anaipatia Young Africans bao la kusawazisha Mgambo Shooting 1 - 1 Young Africans
yanga1935: Dakika ya 75, Mgambo Shooting 1 - 0 Young Africans
yanga1935: Dakika ya 61, anaingia Nurdin Bakari anatoka Frank Domayo
yanga1935: Dakika ya 60, Mgambo Shooting 1 - 0 Young Africans
yanga1935: Dakika ya 58, anaingia Haruna Niyonzima anatoka Oscar Joshua
yanga1935: Mwamuzi wa mchezo ameshindwa kuumudu mchezo, anatoa maamuzi ya ajabu ajabu uwanja mzima unamzomea
yanga1935: Kipindi cha pili cha mchezo kimeanza, Mgambo Shooting 1 - 0 Young Africans
yanga1935: Mpira ni mapumziko, Mgambo Shooting 1 - 0 Young Africans
yanga1935: Dakika ya 42, Mgambo Shooting wanapata bao la kwanza Mgambo Shooting 1 - 0 Young Africans
yanga1935: Dakika ya 30 , Mgambo Shooting 0 - 0 Young Africans
yanga1935: Dakika ya 15, Mgambo Shooting 0 - 0 Young Africans
yanga1935: Mpira ndio umeanza hapa uwanja wa Mkwakwani kati ya Mgambo Shooting Vs Young Africans
yanga1935: Here's Young Africans line-up to face Mgambo Shooting today: 1.Ally Mustafa 'Barthez' 2.Mbuyu Twite 3.Oscar Joshua... http://t.co/0oP4ElKVYf
yanga1935: Vodacom Premier League 2012/2013 Mgambo Shooting Vs Young Africans Muda : Saa 10 jioni Uwanja : Mkwakwani - Tanga... http://t.co/Pm4huwfisW
yanga1935: Vinara wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara, timu ya Young Africans leo asubuhi imefanya mazoezi katika uwanja wa... http://t.co/WIjCj0Zhdt
yanga1935: MWENYEKITI wa Kamati ya Uendelezaji wa jengo dogo la Yanga SC, liliopo Mtaa wa Mafia, Kariakoo, Dar es Salaam,... http://t.co/AMKseEwMaj
yanga1935: "sita, saba, nane,tisa, kumi , kumi na sita, kumi na nane, ishirini na tano, ishirini na sita" Hivyo ndivyo... http://t.co/6XoMGy3tzN
yanga1935: Mpira umemalizika, Young Africans 3 - 0 JKT Oljoro Cannavaro dkk 5, Msuva dkk 19, Kiiza dkk 43 Yanga imefikisha... http://t.co/wHWqv5IAOB
yanga1935: Dakika ya 78 anaingia Nizar Khalfani kuchukua nafasi ya Saimon Msuva
yanga1935: Dakika ya 75, Young Africans 3 - 0 jKT Oljoro
yanga1935: Dakika ya 65, Young Africans 3 - 0 JKT Oljoro
yanga1935: Dakika ya 58 Young Africans inafanya mabadiliko anaingia Said Bahanuzi anatoka Didier Kavumbagu
yanga1935: Kipindi cha pili cha mchezo kimeanza, Young Africans 3 - 0 JKT Oljoro
yanga1935: Mpira ni mapumziko, Young Africans 3 - 0 JKT Oljoro
yanga1935: Dakika ya 43, Hamis Kiiza anaipatia Young Africans bao tatu Young Africans 3 - 0 JKT Oljoro
yanga1935: Dakika ya 30, Young Africans 2 - 0 JKT Oljoro
yanga1935: Dakika ya 19, Saimon Msuva anaipatia Young Africans bao la pili Young Africans 2- 1 JKT Oljoro
AddThis Social Bookmark Button
mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday1386
mod_vvisit_counterYesterday1699
mod_vvisit_counterThis week11343
mod_vvisit_counterLast week14133
mod_vvisit_counterThis month40058
mod_vvisit_counterLast month59067
mod_vvisit_counterAll days467630

We have: 24 guests, 2 bots online
Your IP: 204.236.235.245
 , 
Today: Apr 19, 2013