
YANGA KUMALIZA NA SIMURQ PIK
VIEWED 2087 TIMES
Young Africans kesho jumatatu saa 8 mchana kwa saa za nchini Uturuki sawa na saa 9 kamili kwa saa za Afrika Mashariki itashuka dimbani kucheza mchezo wake wa mwisho wa kirafiki dhidi ya timu ya Simurq PIK inayoshiriki Ligi Kuu nchini Azerbajain katika viwanja vya Side Manavgat.
Last Updated on Sunday, 19 January 2014 15:29





















