You are here: Home NEWS Local News

Local News

News

YANGA YAICHAPA VILLA 1-0

2012-03-17 20:50:06 VIEWED 351 TIMES

Timu ya Young Africans Sports Club imefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1- 0 dhidi ya timu ya Villa Squad na kufikisha pointi 43, katika mchezo wa ligi kuu ya Vodacom nchini Tanzania bara, mechi iliyofanyika katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Last Updated on Saturday, 17 March 2012 21:46

Read more...

 

News

VILLA, YANGA KUCHEZA TAIFA

2012-03-16 15:00:25 VIEWED 298 TIMES
Timu za Villa Squad na Yanga zinapambana kesho (Machi 17 mwaka huu) katika mechi namba 142 ya Ligi Kuu ya Vodacom itakayofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Last Updated on Friday, 16 March 2012 15:18

Read more...

 

News

YANGA YAICHAPA AFRICAN LYON 1-0

2012-03-15 11:49:15 VIEWED 485 TIMES
Timu ya Young Africans Sports Club imefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya timu ya African Lyon na kufikisha pointi 40, katika mchezo wa ligi kuu ya Vodacom nchini Tanzania bara, mechi iliyofanyika katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Last Updated on Thursday, 15 March 2012 17:50

Read more...

   

News

TFF YAWAFUNGIA WACHEZAJI WA TANO WA YANGA

2012-03-13 14:26:30 VIEWED 479 TIMES
Kamati ya Ligi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) iliyokutana Dar es Salaam jana (Machi 12 mwaka huu) imetoa adhabu kwa klabu mbalimbali na wachezaji sita wakiwemo watano wa Yanga.
Last Updated on Thursday, 15 March 2012 12:09

Read more...

 

News

YANGA, AZAM ZAINGIZA MIL 72/-

2012-03-13 13:08:49 VIEWED 244 TIMES
YANGA, AZAM ZAINGIZA MIL 72/-
Mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom kati ya Yanga na Azam lililochezwa Machi 10 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam limeingiza sh. 72,731,000.
Last Updated on Tuesday, 13 March 2012 14:45

Read more...

   
  • FACEBOOK PAGE

  • TWITTER FEEDS

yanga1935: I posted 12 photos on Facebook in the album "Mazishi ya Hamza Said (Zola)" http://t.co/c03XqvTBUK
yanga1935: Mamia ya wanachama, wapenzi na mashabiki wa soka leo jioni wameshiriki katika safari ya mwisho ya kuusindikiza... http://t.co/j9a41B4NIH
yanga1935: Aliyekuwa mfanyakazi wa klabu ya Yanga katika idara ya utumishi (sekretarieti) Hamza Said al maarufu kama Zola au... http://t.co/ISNtyXGIRb
yanga1935: Hamza Said (Zola, Chiluba) amefariki leo alfajiri kwa ajali ya kugongwa na gari. Zola alikuwa mfanyakazi wa Yanga SC http://t.co/DdbGYuqnRH
yanga1935: TANZIA: Uongozi wa klabu ya Yanga unasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi Hamza Said almaarufu kama Zola au... http://t.co/ZWs9NdGmqe
yanga1935: "Pisha pisha Yanga inapita, Pisha Njia Yanga inapita, Pisha pisha Mabingwa wanapita" Hivyo ndivyo washabiki,... http://t.co/QOJDmCM8ys
yanga1935: Mpira umemalizika, Ruvu Shooting 0 - 1 Young Africans Kiiza dkk 48
yanga1935: Dakika ya 80, Young Africans inafanya mabadiliko anaingia Didier Kavumbagu kuchukua nafasi ya Nizar Khalfani aliyeumia
yanga1935: Dakika ya 75, Ruvu Shooting 0 - 1 Young Africans
yanga1935: Dakika ya 60, Ruvu Shooting 0 - 1 Young Africans
yanga1935: Dakika ya 48, Hamis Kiiza anaipatia Young Africans bao la kwanza Ruvu Shooting 0 - 1 Young Africans
yanga1935: Kipindi cha pili cha mchezo kimeanza, Ruvu Shooting 0 - 0 Young Africans
yanga1935: Mpira ni mapumziko, Ruvu Shooting 0 - 0 Young Africans
yanga1935: Dakika ya 30, Ruvu Shooting 0 - 0 Young Africans
yanga1935: Dakika ya 15, Ruvu Shooting 0 - 0 Young Africans
yanga1935: Mpira ndio umeanza hapa Uwanja wa Taifa kati ya Ruvu Shooting Vs Young Africans
yanga1935: Here's Young Africans line-up to face Ruvu Shooting today: 1.Ally Mustafa 'Barthez' 2.Juma Abdul 3.Oscar Joshua... http://t.co/IFGj2qf2q5
yanga1935: Saturday Vodacom Premier League 2012/2013 Young Africans Vs Ruvu Shooting Venue: National Stadium Time: 16:00hrs... http://t.co/KtXaFTlNDD
yanga1935: I posted 2 photos on Facebook in the album "Yanga SC wakisoma Dua" http://t.co/dvBpNuoXeA
yanga1935: Ikiwa inaongoza msimamo wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kwa kuwa na pointi 45, timu ya Young Africans kesho itashuka... http://t.co/gL3YKmmsON
yanga1935: Mlinzi wa kati wa timu ya Young Africans Ladislaus Mbogo anaendelea vizuri baada ya jana kufanyiwa upasuaji wa... http://t.co/1rcHnFSUZ6
yanga1935: Timu ya Young Africans leo imeingia kambini katika hosteli zilizopo makao makuu ya klabu mitaa ya Twiga/Jangwnai... http://t.co/AWJwjt4Dud
AddThis Social Bookmark Button
mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday926
mod_vvisit_counterYesterday2319
mod_vvisit_counterThis week3245
mod_vvisit_counterLast week14464
mod_vvisit_counterThis month36331
mod_vvisit_counterLast month50671
mod_vvisit_counterAll days402768

We have: 22 guests, 2 bots online
Your IP: 207.241.237.238
Mozilla 5.0, 
Today: Mar 19, 2013