YANGA YAICHAPA VILLA 1-0
2012-03-17 20:50:06 VIEWED 351 TIMES
Timu ya Young Africans Sports Club imefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1- 0 dhidi ya timu ya Villa Squad na kufikisha pointi 43, katika mchezo wa ligi kuu ya Vodacom nchini Tanzania bara, mechi iliyofanyika katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Last Updated on Saturday, 17 March 2012 21:46

















