You are here: Home NEWS Local News

Local News

News

ASPIRE KUANZA KUSAKA VIPAJI MEI 21

2012-05-16 11:57:39 VIEWED 229 TIMES
Mchakato wa kusaka vipaji kwa chipukizi wenye umri chini ya miaka 14 kupitia mpango wa kukuza vipaji wa Aspire Football Dream ambao uko chini ya Idara ya Ufundi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) utafanyika kuanzia Mei 21 mwaka huu.
Last Updated on Wednesday, 16 May 2012 12:07

Read more...

 

News

YANGA KUMALIZA LIGI KWA HESHIMA

2012-05-02 10:13:54 VIEWED 412 TIMES

Kikosi cha timu ya Young Africans Sports Club kimeingia kambini mjini Bagamoyo, kujiandaa na mchezo wa mwisho wa ligi kuu ya Vodacom nchini dhidi ya watani wa jadi Simba SC, mchezo utakaochezwa siku ya jumamosi May 5, 2012 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Last Updated on Wednesday, 02 May 2012 10:20

Read more...

 

News

MALINZI MGENI RASMI MKUTANO MKUU TFF

2012-04-20 13:06:08 VIEWED 242 TIMES
Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Dioniz Malinzi anatarajia kuwa mgeni rasmi kwenye ufunguzi Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) utakaofanyika kwa siku mbili (Aprili 21 na 22 mwaka huu) kwenye ukumbi wa NSSF Waterfront jijini Dar es Salaam.

Read more...

   

News

RUTASHOBORWA AFARIKI DUNIA

2012-04-13 09:35:44 VIEWED 415 TIMES

MJUMBE wa Kamati ya Utendaji wa klabu ya Young Africans Sports Club, Wakili Theonist Rutashoborwa amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospital ya Agha Khan alipokuwa amepelekewa usiku huo mara baada ya kuzidiwa na ugonjwa wa Shinikizo la Damu na Kisukari.
Last Updated on Friday, 13 April 2012 11:30

Read more...

 

News

YANGA YAELEKEA MWANZA, KUIVAA TOTO AFRICANS JUMAPILI

2012-04-11 08:45:23 VIEWED 375 TIMES
Kikosi cha Mabingwa wa Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati ambao pia ni mabingwa wa ligi kuu nchini timu ya Young Africans kimeondoka alfajiri ya leo kuelekea jijini Mwanza kwa ajili ya kucheza mchezo wake wa ligi kuu ya Vodacom nchini Tanzania bara nchini dhidi ya timu ya Toto Africans, mchezo utakaochezwa katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini humo.
Last Updated on Wednesday, 11 April 2012 09:19

Read more...

   
  • FACEBOOK PAGE

  • TWITTER FEEDS

yanga1935: I posted 12 photos on Facebook in the album "Mazishi ya Hamza Said (Zola)" http://t.co/c03XqvTBUK
yanga1935: Mamia ya wanachama, wapenzi na mashabiki wa soka leo jioni wameshiriki katika safari ya mwisho ya kuusindikiza... http://t.co/j9a41B4NIH
yanga1935: Aliyekuwa mfanyakazi wa klabu ya Yanga katika idara ya utumishi (sekretarieti) Hamza Said al maarufu kama Zola au... http://t.co/ISNtyXGIRb
yanga1935: Hamza Said (Zola, Chiluba) amefariki leo alfajiri kwa ajali ya kugongwa na gari. Zola alikuwa mfanyakazi wa Yanga SC http://t.co/DdbGYuqnRH
yanga1935: TANZIA: Uongozi wa klabu ya Yanga unasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi Hamza Said almaarufu kama Zola au... http://t.co/ZWs9NdGmqe
yanga1935: "Pisha pisha Yanga inapita, Pisha Njia Yanga inapita, Pisha pisha Mabingwa wanapita" Hivyo ndivyo washabiki,... http://t.co/QOJDmCM8ys
yanga1935: Mpira umemalizika, Ruvu Shooting 0 - 1 Young Africans Kiiza dkk 48
yanga1935: Dakika ya 80, Young Africans inafanya mabadiliko anaingia Didier Kavumbagu kuchukua nafasi ya Nizar Khalfani aliyeumia
yanga1935: Dakika ya 75, Ruvu Shooting 0 - 1 Young Africans
yanga1935: Dakika ya 60, Ruvu Shooting 0 - 1 Young Africans
yanga1935: Dakika ya 48, Hamis Kiiza anaipatia Young Africans bao la kwanza Ruvu Shooting 0 - 1 Young Africans
yanga1935: Kipindi cha pili cha mchezo kimeanza, Ruvu Shooting 0 - 0 Young Africans
yanga1935: Mpira ni mapumziko, Ruvu Shooting 0 - 0 Young Africans
yanga1935: Dakika ya 30, Ruvu Shooting 0 - 0 Young Africans
yanga1935: Dakika ya 15, Ruvu Shooting 0 - 0 Young Africans
yanga1935: Mpira ndio umeanza hapa Uwanja wa Taifa kati ya Ruvu Shooting Vs Young Africans
yanga1935: Here's Young Africans line-up to face Ruvu Shooting today: 1.Ally Mustafa 'Barthez' 2.Juma Abdul 3.Oscar Joshua... http://t.co/IFGj2qf2q5
yanga1935: Saturday Vodacom Premier League 2012/2013 Young Africans Vs Ruvu Shooting Venue: National Stadium Time: 16:00hrs... http://t.co/KtXaFTlNDD
yanga1935: I posted 2 photos on Facebook in the album "Yanga SC wakisoma Dua" http://t.co/dvBpNuoXeA
yanga1935: Ikiwa inaongoza msimamo wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kwa kuwa na pointi 45, timu ya Young Africans kesho itashuka... http://t.co/gL3YKmmsON
yanga1935: Mlinzi wa kati wa timu ya Young Africans Ladislaus Mbogo anaendelea vizuri baada ya jana kufanyiwa upasuaji wa... http://t.co/1rcHnFSUZ6
yanga1935: Timu ya Young Africans leo imeingia kambini katika hosteli zilizopo makao makuu ya klabu mitaa ya Twiga/Jangwnai... http://t.co/AWJwjt4Dud
AddThis Social Bookmark Button
mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday970
mod_vvisit_counterYesterday2319
mod_vvisit_counterThis week3289
mod_vvisit_counterLast week14464
mod_vvisit_counterThis month36375
mod_vvisit_counterLast month50671
mod_vvisit_counterAll days402812

We have: 13 guests, 1 members online
Your IP: 207.241.237.238
Mozilla 5.0, 
Today: Mar 19, 2013