
HUU NDO UKWELI KUHUSU USAJILI WA OKWI
VIEWED 15331 TIMES
Uongozi wa klabu ya Young Africans umeamua kuweka hadharani ukweli kuhusiana na usajili wa mshambuliaji wake wa kimataifa kutoka nchini Uganda Emmanuel Okwi ambaye kamati ya maadili na hadhi za wachezaji imemzuia kuichezea Young Africana mpaka watakapopata uthibitisho kutoka FIFA.
Last Updated on Friday, 24 January 2014 13:11



















