You are here: Home NEWS Local News

Local News

News

HUU NDO UKWELI KUHUSU USAJILI WA OKWI

VIEWED 15331 TIMES

Uongozi wa klabu ya Young Africans umeamua kuweka hadharani ukweli kuhusiana na usajili wa mshambuliaji wake wa kimataifa kutoka nchini Uganda Emmanuel Okwi ambaye kamati ya maadili na hadhi za wachezaji imemzuia kuichezea Young Africana mpaka watakapopata uthibitisho kutoka FIFA.

Last Updated on Friday, 24 January 2014 13:11

Read more...

 

News

YANGA YAWASILI DAR, KUIVAA ASHANTI KESHO

VIEWED 2955 TIMES

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom nchini Tanzania bara Young Africans tayari wameshawasili salama jijini Dar es salaam wakitokea jijini Antalya nchini Uturuki walipokuwa wameweka kambi ya wiki mbili kwa ajili ya maandalizi ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu na mashindano ya klabu Bingwa Afrika barani Afrika.

Last Updated on Friday, 24 January 2014 06:24

Read more...

 

News

YANGA YAENDELEA KUJIFUA, KUONDOKA KESHO UTURUKI

VIEWED 1933 TIMES

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans leo imeendelea na mazoezi ya asubuhi katika viwanja vya hoteli ya Sueno katika kuendelea kujiweka sawa kabla ya kuanza safari kesho mchana ya kurejea nchini Tanzania tayari kwa mikikimikiki ya mzunguko wa pili wa VPL 2013/2014.

Last Updated on Wednesday, 22 January 2014 13:05

Read more...

   

News

YANGA 2-2 SIMURQ HIGHLIGHTS

VIEWED 2142 TIMES
Young Africans imekamlisha ziara ya kambi yake nchini Uturuki bila ya kupoteza mchezo hata mmoja baada ya leo kutoka sare ya mabao 2-2 dhidi ya timu ya Simurq PIK inayoshiriki Ligi Kuu nchini Azerbajain katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika jioni ya leo katika viwanja vya Side Star Hotel Complex Manavgat jijini Antalya Uturuki.
Waweza tazama kipande cha mchezo wa jana pamoja na magoli yake kati ya Young Africans 2-2 Simurq PIK hapa
Last Updated on Tuesday, 21 January 2014 20:31

Read more...

 

News

YANGA 2- 2 SIMURQ PIK

VIEWED 3070 TIMES

Young Africans imekamlisha ziara ya kambi yake nchini Uturuki bila ya kupoteza mchezo hata mmoja baada ya leo kutoka sare ya mabao 2-2 dhidi ya timu ya Simurq PIK inayoshiriki Ligi Kuu nchini Azerbajain katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika jioni ya leo katika viwanja vya Side Star Hotel Complex Manavgat jijini Antalya Uturuki.

Last Updated on Monday, 20 January 2014 18:38

Read more...

   

Facebook Twitter YouTube
  • FACEBOOK

  • TWITTER

mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday2819
mod_vvisit_counterYesterday11260
mod_vvisit_counterThis week26399
mod_vvisit_counterLast week36083
mod_vvisit_counterThis month77398
mod_vvisit_counterLast month188334
mod_vvisit_counterAll days1466121

We have: 110 guests, 1 bots online
Your IP: 207.241.237.224
Mozilla 5.0, 
Today: Feb 14, 2014