
YANGA 0 - 0 COASTAL
VIEWED 1725 TIMES
Young Africans imetoka sare ya bila kufungana (0-0) dhidi ya wenyeji timu ya Coastal Union katika mchezo wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom uliofanyika leo katika dimba la Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga.
Last Updated on Wednesday, 29 January 2014 19:05



















