YANGA YAWASILI SALAMA CAIRO
VIEWED 3673 TIMES
Kikosi cha Young Africans kimewasili salama jijni Cairo alfajiri ya leo kwa shirika la ndege la Egypt Air ikiwa na msafara wa watu 31 wakiweo viongozi pamoja na wachezaji na kupokelewa na Balozi wa Tanzania nchini Bw Mohamed Hamza kisha kuondoka kwa msafara Uwanja wa Ndege kuelekea hoteli ya Nile Paradise Inn.
Read more...








