Club Highlight

Young Africans is one of the oldest football teams in East Africa, The Club was established in the year 1935. The club won Tanzania Premier League 24 times, Tanzania Cup 4 times and CECAFA cup 5 times.

You are here: Home

The Official Website of Young Africans Sports Club

YANGA YAWASILI SALAMA CAIRO

VIEWED 3673 TIMES

Kikosi cha Young Africans kimewasili salama jijni Cairo alfajiri ya leo kwa shirika la ndege la Egypt Air ikiwa na msafara wa watu 31 wakiweo viongozi pamoja na wachezaji na kupokelewa na Balozi wa Tanzania nchini Bw Mohamed Hamza kisha kuondoka kwa msafara Uwanja wa Ndege kuelekea hoteli ya Nile Paradise Inn.

Read more...
 

YANGA, AL AHLY KUCHEZA ALEXANDRIA

VIEWED 4422 TIMES

Baada ya utata juu ya ni sehemu gani utakaofanyika mchezo wa marudiano kati ya wenyeji Al Ahly dhidi ya wawakilishi pekee wa Tanzania kwenye mashindano ya Kimataifa Young Africans huku ikiwa iebakia siku tatu kabla ya mchezo, maamuzi ya shirikisho la soka nchini Misri yameamulu mchezo huo utafanyika mjini Alexandria katika Uwanja wa Border Guard stadium (Haras el Hadod)

Read more...
 

MAMLUKI BIN ZUBEIRY

VIEWED 6765 TIMES

Uongozi wa Young Africans unawaomba wapenzi, wanachama na wadau wa soka kuacha kusoma habari za blog ya Bin Zubeiry kutokana na kuandika taarifa zisizokuwa na ukweli huku lengo lake kubwa likiwa ni kuhakikisha timu ya Young Africans inafanya vibaya kwenye michezo yake na kuwavunja moyo viongozi wake pamoja na wachezaji.

Read more...
 

AJABU AL AHLY HAWAJUI MECHI ITACHEZWA WAPI

VIEWED 4553 TIMES

Katika hali ya kushangaza wenyeji timu ya Al Ahly mpaka sasa wameshindwa kuwadhibitishia viongozi wa Young Africans pamoja na Ubalozi wa Tanzania nchini Misri juu ya Uwanja utakaotumika kwa ajili ya mchezo wa marudiano Klabu Bingwa Barani Afrika siku ya jumapili.

Read more...
   

Page 1 of 98

  • «
  •  Start 
  •  Prev 
  •  1 
  •  2 
  •  3 
  •  4 
  •  5 
  •  6 
  •  7 
  •  8 
  •  9 
  •  10 
  •  Next 
  •  End 
  • »

Facebook Twitter YouTube
  • FACEBOOK

  • TWITTER