
YANGA YATANGAZA KAMATI YA UTENDAJI
VIEWED 1868 TIMES
Katibu Mkuu wa Young Africansa Bw Beno Njovu l eo ametangaza Wajumbe Wapya wa Kamati ya Utendaji ambao wanaanza kazi rasmi Agosti Mosi 2014 kwa kushirikiana na Mwenyekiti Yusuf Manji na makamo wake Clement Sanga, na kuwapa shukrani viongozi waliomaliza muda wao.
Ifuatayo ni TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI:
Read more...








