
YANGA YAICHAPA RHINO 3-0 TABORA
VIEWED 3136 TIMES
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans leo imeibuka na ushindi na mabao 3 - 0 dhidi ya wenyeji timu ya Rhino Rangers katika mchezo uliofanyika jioni ya leo katika dimba la Uwanja wa Ally Hassan Mwinyi mjini Tabora.
Read more...








