You are here: Home NEWS Local News OKWI KUTUA LEO SAA 9:30

OKWI KUTUA LEO SAA 9:30

E-mail Print PDF

VIEWED 1964 TIMES

Mshambuliaji wa kimataifa kutoka nchini Uganda Emmanuel Okwi anatarajiwa kutua leo mchana majira ya saa 9:30 katika uwanja wa ndege wa Mwalimu JK Nyererer akitokea nchini Uganda kwa shirika la ndege la Rwanda.

Hii ni taarifa rasmi kwa wapenzi wa soka, wanacham na mashabiki kuwa rasmi mchezaji huyo atawasili leo na kupokelewa na viongozi wa klabu ya Yanga pamoja na mashabiki na wanachama kwa ujumla.

Ujio wa Emmanuel Okwi leo unafuatia kukamilisha masuala yake yaliyokuwa yamembakisha nchini Uganda na moja kwa moja leo ataungana na wenzake kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa jumamosi dhidi ya Simba SC katika Nani Mtani Jembe.

Last Updated ( Thursday, 19 December 2013 13:43 )  

Facebook Twitter YouTube
  • FACEBOOK

  • TWITTER

mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday4157
mod_vvisit_counterYesterday5042
mod_vvisit_counterThis week13864
mod_vvisit_counterLast week35757
mod_vvisit_counterThis month149016
mod_vvisit_counterLast month188334
mod_vvisit_counterAll days1537739

We have: 71 guests, 2 bots online
Your IP: 204.236.235.245
 , 
Today: Feb 26, 2014