You are here: Home NEWS Local News YANGA KUIVAA COASTAL UNION JUMAPILI TANGA

YANGA KUIVAA COASTAL UNION JUMAPILI TANGA

E-mail Print PDF
VIEWED 1498 TIMES
Kocha mkuu wa timu ya Young Africans Sports Club, Mholanzi Ernie Brandts amesema kikosi chake kipo tayari kuikabili timu ya Coastal Union katika mchezo wa mwisho wa kumaliza mzunguko wa kwanza wa ligi kuu ya Vodacom utakaofanyika siku ya jumapili katika uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga.

Akiongea na mtandao wa klabu www.youngafricans.co.tz leo asubuhi katika mazoezi yaliyofanyika shule ya sekondari Loyola, amesema wachezaji wake wote wapo safi, wana ari ya mchezo na ushindi, hivyo anaamini mchezaji yoyote atakayempanga atafanya vizuri.
Wachezaji wangu wapo fit wote, nadhani soka waliolicheza siku na Azam lilionekana, hizo ni dalili tosha kuwa wachezaji wanaelewa mafunzo yangu, hivyo naamin siku ya jumapili vijana wangu wataibuka na ushindi mzuri hali itakayotupelekea kuweza kuendelea kushika usukani wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara amesema 'Brandts'

Coastal Union inayoshika nafasi ya nne katika msimo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara, itashuka dimbani siku hiyo ya jumapili kusaka pointi ili kujiweka katika nafasi ya kuendelea kushika nafasi tatu za juu
Yanga ambayo mchezo wake wa mwisho iliibuka na ushindi wa mabao 2 - 0 dhidi ya timu ya Azam FC katika mchezo uliochezwa mwishoni mwa wiki, itaingia uwanjani kusaka pointi 3 muhimu zitakazo ifanya iendelee kuongoza msimamo wa Ligi Kuu kwani kama Yanga ikishinda basi Simba na Azam hata zikishinda hazitoweza kuongoza Ligi.
Katika mazoezi yaliyofanyika leo asubuhi, kocha Brandts ameendelea kufurahia kuwepo kwa wachezaji wake wote, kitu kitakachopelea kumtumia mchezaji yoyote atakayetaka kumtumia kwa mchezo huo wa jumapili, kwani hakuna mchezaji aliye majeruhi .
Vijana wa jangwani kwa sasa wanakamata nafasi ya kwanza katika msimamo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara kwa kufikisha point 26, mbele ya Azam yenye pointi 24 na Simba yenye pointi 23 huku timu zote zikiwa zimecheza michezo 12.

Last Updated ( Thursday, 08 November 2012 10:27 )  
  • FACEBOOK PAGE

  • TWITTER FEEDS

yanga1935: Yanga yafanya mkutano mkuu wa wanachama salama, ajenda zote zapitishwa http://t.co/lotRChsL
yanga1935: Yanga yaichapa Black Leopard mabao 3-2 http://t.co/8XbabdSs
yanga1935: Mpira umemalizika, Young Africans 3 - 2 Black Leopard Tegete dkk 32,73, Domayo 63 Khoza dkk 47, Rodney dkk 89
yanga1935: Dakika ya 89, Rodney Ramagalela anaipatia Black Leopard bao la pili kwa mkwaju wa penati
yanga1935: Dakika ya 84, Young Africans inafanya mabadiliko anaingia George Banda anatoka Jerson Tegete
yanga1935: Dakika ya 75, Young Africans 3 - 1 Black Leopard anaingia Said Bahanuzi anatoka Didier Kavumbagu
yanga1935: Dakika ya 73, Jerson Tegete anaipatia Young Africans bao la tatu Young Africans 3 - 1 Black Leopard
yanga1935: Dakika ya 63, Frank Domayo anaipatia Young Africans bao la pili Young Africans 2 - 1 Black Leopard
yanga1935: Dakika ya 60, Young Africans 1 - 1 Black Leopard
yanga1935: Dakika ya 47, Humphrey Khoza anaipatia Black Leopard bao la kusawazisha#Young Africans 1 - 1 Black Leopard
yanga1935: wanaingia Said Mohamed, Saimon Msuva na Juma Abdul Wanatoka Kabange Twite, Mbuyu Twite na Ally Mustafa
yanga1935: Kipindi cha pili cha mchezo kimeanza, Young Africans inafanya mabadiliko wanaingia Said Mohamed, Saimon Msuva na Juma Abdul
yanga1935: Mpira ni mapumziko, Young Africans 1 - 0 Black Leopard Tegete dkk 32
yanga1935: Dakika ya 32, Jerson Tegete anaipatia Young Africans bao la kwanza kwa mkwaju wa penati
yanga1935: Dakika ya 30, Young Africans 0 - 0 Black Leopard
yanga1935: Dakika ya 15, Young Africans 0 - 0 Black Leopard
yanga1935: Mpira ndio umeanza hapa Uwanja wa Taifa kati ya Young Africans Vs Black Leopard
yanga1935: Here's Young Africans line-up to face Black Leopard today#Mustafa,Mbuyu,Oscar,Nadir,Yondani,Chuji,Kabange,Domayo,Didier,Tegete,Niyonzima
yanga1935: International Friendly Match today: #Young Africans Vs Black Leopard Kick-off 16:00hrs Venue: National Stadium
yanga1935: Yanga Vs Black Leopard kesho Taifa http://t.co/o9Uu695M
yanga1935: Yanga yaanza mazoezi baada kurejea kutoka nchini Uturuki http://t.co/WjuE9731
yanga1935: Young Africans kuivaa Black Leopard ya Afrika Kusini http://t.co/O5qJvtLG
yanga1935: Yanga yawasili Dar salama http://t.co/F8W53VAa
mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday826
mod_vvisit_counterYesterday2888
mod_vvisit_counterThis week826
mod_vvisit_counterLast week17151
mod_vvisit_counterThis month55152
mod_vvisit_counterLast month36036
mod_vvisit_counterAll days293384

We have: 39 guests, 3 bots online
Your IP: 207.241.237.238
Mozilla 5.0, 
Today: Jan 21, 2013