You are here: Home NEWS Local News YANGA KUIVAA AZAM JUMAPILI TAIFA

YANGA KUIVAA AZAM JUMAPILI TAIFA

E-mail Print PDF

VIEWED 719 TIMES

Timu ya Young Africans Sports Club yenye makao yake makuu, makutano ya mitaa ya Twiga/Jangwani itacheza na timu ya Azam Fc siku ya jumapili katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara mchezo utakaofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Young Africans ambayo mpaka sasa imejikusanyia jumla ya pointi 23 baada ya kucheza michezo 11, kushinda michezo 7, kutoka sare michezo 2 na kufungwa michezo 2, imefunga jumla ya mabao 21 na kufungwa mabao 10, inakamata nafasi ya pili kwa tofauti ya mabao ya kufunga na kufungwa dhidi ya Simba SC.

Kikosi cha wachezaji 30 na benchi la ufundi 7 wameingia kambini jana jioni katika hoteli ya kitalii ya Kiromo iliyopo eneo la Bagamoyo ambapo leo asubuhi wachezaji wamefanya mazoezi katika uwanja wa mbegani na hakuna majeruhi yoyote.

Kocha mkuu wa Young Africans mholanzi Ernie Brandts amesema kikosi chake kipo vizuri na maandalizi ya mchezo wa jumapili yako safi kabisa, na anaamini timu yake itaibuk ana ushindi katika mchezo huo na kuendelea kujiweka katika nafasi nzuri ya kutwaa Ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom 2012/2013.

Jana nilikwenda Uwanja wa Chamanzi kutazama mchezo kati ya Azam FC na Coastal Union timu ambazo ndio pekee tumebakisha michezo 2 nazo katika kumalizia mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Tanzania bara, utakaomalizika novemba 11, 2012, nimefanikiwa kujua mifumo na mbinu wanazotumia kucheza hivyo naamini tutafanya vizuri alisema 'Brandts'

Mshambuliaji Didier Kavumbagu wa timu ya Young Africans ndie kinara wa mabao mpaka sasa katika Ligi Kuu ya Vodacom, akiwa na jumla ya mabao 6, ataendelea kusaka magoli zaidi ili kuweza kujitengenezea mazingira mazuri ya kuibuka mfungaji bora.

 

Last Updated ( Friday, 02 November 2012 13:17 )  
  • FACEBOOK PAGE

  • TWITTER FEEDS

yanga1935: Yanga yafanya mkutano mkuu wa wanachama salama, ajenda zote zapitishwa http://t.co/lotRChsL
yanga1935: Yanga yaichapa Black Leopard mabao 3-2 http://t.co/8XbabdSs
yanga1935: Mpira umemalizika, Young Africans 3 - 2 Black Leopard Tegete dkk 32,73, Domayo 63 Khoza dkk 47, Rodney dkk 89
yanga1935: Dakika ya 89, Rodney Ramagalela anaipatia Black Leopard bao la pili kwa mkwaju wa penati
yanga1935: Dakika ya 84, Young Africans inafanya mabadiliko anaingia George Banda anatoka Jerson Tegete
yanga1935: Dakika ya 75, Young Africans 3 - 1 Black Leopard anaingia Said Bahanuzi anatoka Didier Kavumbagu
yanga1935: Dakika ya 73, Jerson Tegete anaipatia Young Africans bao la tatu Young Africans 3 - 1 Black Leopard
yanga1935: Dakika ya 63, Frank Domayo anaipatia Young Africans bao la pili Young Africans 2 - 1 Black Leopard
yanga1935: Dakika ya 60, Young Africans 1 - 1 Black Leopard
yanga1935: Dakika ya 47, Humphrey Khoza anaipatia Black Leopard bao la kusawazisha#Young Africans 1 - 1 Black Leopard
yanga1935: wanaingia Said Mohamed, Saimon Msuva na Juma Abdul Wanatoka Kabange Twite, Mbuyu Twite na Ally Mustafa
yanga1935: Kipindi cha pili cha mchezo kimeanza, Young Africans inafanya mabadiliko wanaingia Said Mohamed, Saimon Msuva na Juma Abdul
yanga1935: Mpira ni mapumziko, Young Africans 1 - 0 Black Leopard Tegete dkk 32
yanga1935: Dakika ya 32, Jerson Tegete anaipatia Young Africans bao la kwanza kwa mkwaju wa penati
yanga1935: Dakika ya 30, Young Africans 0 - 0 Black Leopard
yanga1935: Dakika ya 15, Young Africans 0 - 0 Black Leopard
yanga1935: Mpira ndio umeanza hapa Uwanja wa Taifa kati ya Young Africans Vs Black Leopard
yanga1935: Here's Young Africans line-up to face Black Leopard today#Mustafa,Mbuyu,Oscar,Nadir,Yondani,Chuji,Kabange,Domayo,Didier,Tegete,Niyonzima
yanga1935: International Friendly Match today: #Young Africans Vs Black Leopard Kick-off 16:00hrs Venue: National Stadium
yanga1935: Yanga Vs Black Leopard kesho Taifa http://t.co/o9Uu695M
yanga1935: Yanga yaanza mazoezi baada kurejea kutoka nchini Uturuki http://t.co/WjuE9731
yanga1935: Young Africans kuivaa Black Leopard ya Afrika Kusini http://t.co/O5qJvtLG
yanga1935: Yanga yawasili Dar salama http://t.co/F8W53VAa
mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday822
mod_vvisit_counterYesterday2888
mod_vvisit_counterThis week822
mod_vvisit_counterLast week17151
mod_vvisit_counterThis month55148
mod_vvisit_counterLast month36036
mod_vvisit_counterAll days293380

We have: 38 guests, 7 bots online
Your IP: 207.241.237.238
Mozilla 5.0, 
Today: Jan 21, 2013