You are here: Home NEWS Local News KIM ATAJA KIKOSI CHA COSAFA

KIM ATAJA KIKOSI CHA COSAFA

E-mail Print PDF
Article hits: 409 Views.
Kocha Mkuu wa timu za Taifa za vijana, Kim Poulsen ametangaza kikosi cha wachezaji 20 wa timu ya Taifa kwa vijana chini ya miaka 20 (Ngorongoro Heroes) kitakachoshiriki michuano ya umri huo ya Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Kusini mwa Afrika (COSAFA).

Michuano hiyo itafanyika Gaborone, Botswana kuanzia Desemba 1-10 mwaka huu ikishirikisha timu za mataifa 11 wanachama wa COSAFA na Tanzania inayoshiriki kama mwalikwa.

Wachezaji walioitwa kwenye kikosi hicho ni Saleh Malande (Simba), Jackson Wandwi (Azam), Hassan Kessy (Mtibwa Sugar), Khamis Mroki (Mtibwa Suagr), Issa Rashid (Mtibwa Sugar), Said Samir (Kagera Sugar), Samuel Mkomola (Azam), Frank Domayo (JKT Ruvu Stars) na Omega Seme (Yanga0.

Wengine ni Atupele Green (Yanga), Jerome Reuben (Moro United), Simon Happygod (Azam), Ramadhan Singano (Simba), Abdallah Hussein (AFC), Rajab Mohamed (Moro United), Amani Kyata (TSA), Edward Shija (Simba), Emily Josiah (TSC Mwanza), Frank Sekule (Simba) na Hassan Dilunga (Ruvu Shooting Stars).

Ngorongoro Heroes ambayo iko kundi D pamoja na Zambia, Afrika Kusini na Mauritius inatarajiwa kuondoka nchini Novemba 30 mwaka huu kwenda Gaborone.

TENGA KUFUNGA KOZI YA CAF
Rais wa TFF, Leodegar Tenga kesho atafunga kozi ya ukocha kwa ajili ya kupata leseni za daraja C kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) iliyofanyika kuanzia Novemba 7 mwaka huu.

Ufungaji wa kozi hiyo iliyoshirikisha makocha 30 utafanyika kuanzia saa 4.30 asubuhi katika ofisi za TFF. Kozi hiyo iliendeshwa na wakufunzi wanne, mmoja wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), wawili wa CAF na mmoja wa Chama cha Mpira wa Miguu Denmark (DBU).

Mkufunzi wa FIFA alikuwa Jan Poulsen, kutoka CAF ni Sunday Kayuni (Tanzania), Kasimawo Laloko (Nigeria) wakati kutoka Denmark ni Kim Poulsen.

Makocha walioshiriki ni Christopher Eliakim, Jumanne Ntambi, Keneth Mkapa, Mussa Furutuni, Mecky Maxime, Gideon Kolongo, Maka Mwalwisi, Haji Amir, Tiba Mlesa, Stephen Matata, Wane Mkisi, Leonard Jima na Ahmed Mumba.

Wengine ni Peter Mhina, Absolom Mwakyonde, Maarufu Yassin, Mussa Kamtande, Wilfred Kidau, Eliasa Thabit, Dismas Haonga, Fulgence Novatus, Juma Mgunda, Hassan Banyai, Mohamed Tajdin, Sebastian Nkoma, Emmanuel Massawe, Gabriel Gunda, Abdul Nyumba na Richard Kabudi.
AddThis Social Bookmark Button
Last Updated ( Sunday, 20 November 2011 15:14 )  
  • FACEBOOK PAGE

  • TWITTER FEEDS

yanga1935: I posted 12 photos on Facebook in the album "Mazishi ya Hamza Said (Zola)" http://t.co/c03XqvTBUK
yanga1935: Mamia ya wanachama, wapenzi na mashabiki wa soka leo jioni wameshiriki katika safari ya mwisho ya kuusindikiza... http://t.co/j9a41B4NIH
yanga1935: Aliyekuwa mfanyakazi wa klabu ya Yanga katika idara ya utumishi (sekretarieti) Hamza Said al maarufu kama Zola au... http://t.co/ISNtyXGIRb
yanga1935: Hamza Said (Zola, Chiluba) amefariki leo alfajiri kwa ajali ya kugongwa na gari. Zola alikuwa mfanyakazi wa Yanga SC http://t.co/DdbGYuqnRH
yanga1935: TANZIA: Uongozi wa klabu ya Yanga unasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi Hamza Said almaarufu kama Zola au... http://t.co/ZWs9NdGmqe
yanga1935: "Pisha pisha Yanga inapita, Pisha Njia Yanga inapita, Pisha pisha Mabingwa wanapita" Hivyo ndivyo washabiki,... http://t.co/QOJDmCM8ys
yanga1935: Mpira umemalizika, Ruvu Shooting 0 - 1 Young Africans Kiiza dkk 48
yanga1935: Dakika ya 80, Young Africans inafanya mabadiliko anaingia Didier Kavumbagu kuchukua nafasi ya Nizar Khalfani aliyeumia
yanga1935: Dakika ya 75, Ruvu Shooting 0 - 1 Young Africans
yanga1935: Dakika ya 60, Ruvu Shooting 0 - 1 Young Africans
yanga1935: Dakika ya 48, Hamis Kiiza anaipatia Young Africans bao la kwanza Ruvu Shooting 0 - 1 Young Africans
yanga1935: Kipindi cha pili cha mchezo kimeanza, Ruvu Shooting 0 - 0 Young Africans
yanga1935: Mpira ni mapumziko, Ruvu Shooting 0 - 0 Young Africans
yanga1935: Dakika ya 30, Ruvu Shooting 0 - 0 Young Africans
yanga1935: Dakika ya 15, Ruvu Shooting 0 - 0 Young Africans
yanga1935: Mpira ndio umeanza hapa Uwanja wa Taifa kati ya Ruvu Shooting Vs Young Africans
yanga1935: Here's Young Africans line-up to face Ruvu Shooting today: 1.Ally Mustafa 'Barthez' 2.Juma Abdul 3.Oscar Joshua... http://t.co/IFGj2qf2q5
yanga1935: Saturday Vodacom Premier League 2012/2013 Young Africans Vs Ruvu Shooting Venue: National Stadium Time: 16:00hrs... http://t.co/KtXaFTlNDD
yanga1935: I posted 2 photos on Facebook in the album "Yanga SC wakisoma Dua" http://t.co/dvBpNuoXeA
yanga1935: Ikiwa inaongoza msimamo wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kwa kuwa na pointi 45, timu ya Young Africans kesho itashuka... http://t.co/gL3YKmmsON
yanga1935: Mlinzi wa kati wa timu ya Young Africans Ladislaus Mbogo anaendelea vizuri baada ya jana kufanyiwa upasuaji wa... http://t.co/1rcHnFSUZ6
yanga1935: Timu ya Young Africans leo imeingia kambini katika hosteli zilizopo makao makuu ya klabu mitaa ya Twiga/Jangwnai... http://t.co/AWJwjt4Dud
AddThis Social Bookmark Button
mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday1018
mod_vvisit_counterYesterday2319
mod_vvisit_counterThis week3337
mod_vvisit_counterLast week14464
mod_vvisit_counterThis month36423
mod_vvisit_counterLast month50671
mod_vvisit_counterAll days402860

We have: 20 guests, 1 members, 2 bots online
Your IP: 207.241.237.238
Mozilla 5.0, 
Today: Mar 19, 2013