Club Highlight

Young Africans is one of the oldest football teams in East Africa, The Club was established in the year 1935. The club won Tanzania Premier League 24 times, Tanzania Cup 4 times and CECAFA cup 5 times.

You are here: Home

The Official Website of Young Africans Sports Club

YANGA YAICHAPA RHINO 3-0 TABORA

VIEWED 3029 TIMES

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans leo imeibuka na ushindi na mabao 3 - 0 dhidi ya wenyeji timu ya Rhino Rangers katika mchezo uliofanyika jioni ya leo katika dimba la Uwanja wa Ally Hassan Mwinyi mjini Tabora.

Read more...
 

YANGA KUIVAA RHINO KESHO TABORA

VIEWED 1507 TIMES

Kikosi cha Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans kesho kitashuka katika dimba la Ally Hassan Mwinyi mjini wa Tabora kucheza na wenyeji timu ya Maafande wa Jeshi la Ulinzi Nchini Rhino Rangers mchezo utakaopigwa majira ya saa 10:00 jioni kwa saa za Afrika Mashariki.

Read more...
 

YANGA 1- 1 AZAM

VIEWED 1150 TIMES

Young Africans imetoka sare ya bao 1-1 dhidi ya timu ya Azam FC katika mchezo wa wa Ligi Kuu Tanzania bara uliofanyika dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam na kufikisha poniti 40 ikiwa ni poniti nne nyuma ya Azam yenye ponti 44 lakini wauza ramba ramba wakiwa mbele kwa mchezo mmoja.

Read more...
 

YANGA KUIVAA AZAM

VIEWED 2131 TIMES

Young Africans Sports Club yenye makao makuu yake mitaa ya Twiga/Jangwani kesho itashuka katika dimba la Uwaja wa Taifa jijini Dar es salaam kuwakaribisha wauza maji/ramba ramba timu ya Azam FC ikiwa ni muendelezo wa michezo ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara msimu wa 2013/2014.

Read more...
   

Page 1 of 101

  • «
  •  Start 
  •  Prev 
  •  1 
  •  2 
  •  3 
  •  4 
  •  5 
  •  6 
  •  7 
  •  8 
  •  9 
  •  10 
  •  Next 
  •  End 
  • »

Facebook Twitter YouTube
  • FACEBOOK

  • TWITTER