Club Highlight

Young Africans is one of the oldest football teams in East Africa, The Club was established in the year 1935. The club won Tanzania Premier League 24 times, Tanzania Cup 4 times and CECAFA cup 5 times.

You are here: Home

The Official Website of Young Africans Sports Club

BENO, MAGARI WAULA YANGA

VIEWED 3097 TIMES

Mwenyekiti wa Young Africans Yusuf Manji leo amemtambulisha rasmi Bw. Beno Njovu kuwa katibu mkuu mpya wa klabu akichukua nafasi ya Lawrence Mwalusako aliyekua kaimu katibu mkuu kwa kipindi cha mwaka mmoja.

Read more...
 

NGAO : NAWASHANGAA

VIEWED 1949 TIMES

Nahodha wa kikosi cha Young Africans U-20 ambaye pia msimu huu amepandishwa katika kikosi cha kwanza Issa Rashid Ngao amesema ameshangwaza na taarifa zilizotolewa jana katika baadhi ya mitandao kwamba yeye hana mkataba na Yanga na kusema hizo ni taarifa za uongo.

Read more...
 

YANGA YAJIFUA UFUKWENI

VIEWED 1361 TIMES

Mabingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom nchini Tanzania bara timu ya Young Africans leo wameendelea na mazoezi kwa kujifua katika fukwe za Coco kujiandaa na mchezo wa Hisani "Nani Mtani Jembe" dhidi ya Simba SC Disemba 21, 2013 katika dimba la uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Read more...
 

YANGA YATOA RIPOTI YA MAPATO NA MATUMIZI

VIEWED 2148 TIMES

Uongozi wa klabu ya Young Africans leo umetoa ripoti ya mapato na matumizi kwa kipindi cha miezi sita tangu Januari 14, 2013 mpaka Julai 14, 2013 ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa kutoa mahesabu hayo kwa wapenzi, washabiki, na wanachama na jamii kwa ujumla.

Read more...
   

Page 11 of 94

Facebook Twitter YouTube
  • FACEBOOK

  • TWITTER

mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday4504
mod_vvisit_counterYesterday7098
mod_vvisit_counterThis week35786
mod_vvisit_counterLast week44755
mod_vvisit_counterThis month50702
mod_vvisit_counterLast month188334
mod_vvisit_counterAll days1439425

We have: 53 guests online
Your IP: 207.241.237.229
Mozilla 5.0, 
Today: Feb 09, 2014