
TBL YAKABIDHI VIFAA
2012-01-19 14:27:35 VIEWED 590 TIMES
Kampuni ya Bia nchini Tanzania (TBL) kupitia kinywaji chake cha Kilimanjaro Premium Lager ambacho ndio mdhamini mkuu wa vilabu vya Simba na Yanga, leo imezipa timu hizo vifaa vipya vya michezo kwa ajili ya kuvitumia katika mzunguko wa pili wa ligi kuu ya Tanzania 2011/2012, maarufu kama Vodacom Premier League ambayo imepangwa kuanza Januari 21, 2012.
Read more...





















