Club Highlight

Young Africans is one of the oldest football teams in East Africa, The Club was established in the year 1935. The club won Tanzania Premier League 24 times, Tanzania Cup 4 times and CECAFA cup 5 times.

You are here: Home

The Official Website of Young Africans Sports Club

YANGA, SIMBA JUMAMOSI

VIEWED 2078 TIMES

Mechi ya "Nani Mtani Jembe" kati ya Yanga SC na timu ya Simba SC itafanyika siku ya jumamosi katika dimba la Uwanja wa Taifa huku maandalizi yote yakiwa yamekamilika na Shirikisho la Mpira Miguu nchini Tanzania (TFF) likitangaza Viingilio vya mchezo huo bei ya juu ni Tshs 40,000/=.

Read more...
 

OKWI ATUA YANGA

VIEWED 12470 TIMES
Klabu ya Yanga SC imefanikiwa kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa kimataifa kutoka nchini Uganda Emmanuel Arnold Okwi ambaye alikua akiichezea klabu ya SC Villa ya Uganda.
Read more...
 

YANGA 3 - 2 KMKM

VIEWED 1896 TIMES

Young Africans leo imeibuka na ushindi wa mabao 3-2 katika mchezo wa kirafiki dhidi ya KMKM uliofanyika jioni ya leo katika dimba la uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mechi ya Nani Mtani Jembe Disemba 21 mwaka huu.

Read more...
 

BENO, MAGARI WAULA YANGA

VIEWED 3094 TIMES

Mwenyekiti wa Young Africans Yusuf Manji leo amemtambulisha rasmi Bw. Beno Njovu kuwa katibu mkuu mpya wa klabu akichukua nafasi ya Lawrence Mwalusako aliyekua kaimu katibu mkuu kwa kipindi cha mwaka mmoja.

Read more...
   

Page 10 of 93

Facebook Twitter YouTube
  • FACEBOOK

  • TWITTER

mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday654
mod_vvisit_counterYesterday6513
mod_vvisit_counterThis week19805
mod_vvisit_counterLast week43853
mod_vvisit_counterThis month39754
mod_vvisit_counterLast month188334
mod_vvisit_counterAll days1428477

We have: 44 guests, 6 bots online
Your IP: 207.241.237.227
Mozilla 5.0, 
Today: Feb 08, 2014