Club Highlight

Young Africans is one of the oldest football teams in East Africa, The Club was established in the year 1935. The club won Tanzania Premier League 24 times, Tanzania Cup 4 times and CECAFA cup 5 times.

You are here: Home

The Official Website of Young Africans Sports Club

HATUMWI MTOTO DUKANI

VIEWED 2396 TIMES

Hatumwi mtoto Dukani: Hiyo ndo kauli iliyotawala vinywani mwa wapenzi, washabiki na wadau wa soka kuelekea mchezo wa kesho Nani Mtani Jembe dhidi ya Vinara wa Ligi Kuu ya Vodacom Yanga SC watakapombana na Simba SC katika dimba la uwanja wa Taifa kesho jumamosi kuanzia majira ya saa 10:00 jioni kwa saa za Afrika Mashariki.

Read more...
 

OKWI AWASILI RASMI YANGA

VIEWED 4559 TIMES
Mshambuliaji wa kimataifa kutoka nchini Uganda Emmanuel Okwi amewasili leo mchana majira ya saa 9:45 katika uwanja wa ndege wa Mwalimu JK Nyererer akitokea nchini Uganda kwa shirika la ndege la Rwanda Air.
Read more...
 

OKWI KUTUA LEO SAA 9:30

VIEWED 1942 TIMES

Mshambuliaji wa kimataifa kutoka nchini Uganda Emmanuel Okwi anatarajiwa kutua leo mchana majira ya saa 9:30 katika uwanja wa ndege wa Mwalimu JK Nyererer akitokea nchini Uganda kwa shirika la ndege la Rwanda.

Read more...
 

YANGA KUVUNA MIL 90 CAF

VIEWED 3546 TIMES

Klabu ya Young Africans SC imeingia mkataba wa kurusha mchezo wake wa hatua ya kwanza ya mashindano ya klabu Bingwa Afrika dhidi ya timu ya Alh Ahly ya Misri kwa gharama ya dola za kimarekani elfu 55,000 sawa na mil 90/= za kitanzania kwa muda wa dakika 90.

Read more...
   

Page 9 of 93

Facebook Twitter YouTube
  • FACEBOOK

  • TWITTER

mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday1457
mod_vvisit_counterYesterday6513
mod_vvisit_counterThis week25641
mod_vvisit_counterLast week44755
mod_vvisit_counterThis month40557
mod_vvisit_counterLast month188334
mod_vvisit_counterAll days1429280

We have: 54 guests, 6 bots online
Your IP: 207.241.237.227
Mozilla 5.0, 
Today: Feb 08, 2014