Club Highlight

Young Africans is one of the oldest football teams in East Africa, The Club was established in the year 1935. The club won Tanzania Premier League 23 times, Tanzania Cup 4 times and CECAFA cup 5 times.

You are here: Home

The Official Website of Young Africans Sports Club

YANGA KUIVAA POLISI DODOMA

Kikosi cha mabingwa wa ligi kuu Tanzania Bara leo kinatarajiwa kushuka dimbani kucheza na Police Tanzania katika mchezo wa ligi kuu ya VPL 2011/2012.
Mchezo huo utakuwa ni kumalzia mzunguko wa kwanza kwa timu zote amabapo Yanga ina point 24 ikiwa na nafasi ya pili na Police Tanzania ni ya 13 ikiwa na point 9.

Read more...
 
AddThis Social Bookmark Button

22 WAITWA TAIFA STARS KUIVAA CHAD

KOCHA Mkuu wa Taifa Stars, Jan Poulsen leo ametangaza kikosi cha wachezaji 22 kwa ajili ya mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia dhidi ya Chad itakayochezwa Novemba 11 mwaka huu jijini N’Djamena. Mchezaji aliyeitwa kwa mara ya kwanza ni kipa Mwandini Ally wa Azam huku pia akimjumuisha kwenye kikosi chake mshambuliaji wa timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 20 (Ngorongoro Heroes), Thomas Ulimwengu.
Read more...
 

Kikosi kipo tayari kwa pambano dhidi ya Simba

Kocha mkuu Papic amewaambia wapenzi na wanachama wa timu ya Yanga kuwa kikosi cha timu hiyo kipo tayari kukabiliana na mnyama Simba katika pambano la mchezo wa ligi kuu ya Vodacom
Read more...
 

Tutawanyamazisha - Simba

Mabingwa wa soka kwa nchi za Afrikia Mashariki na Kati na mabingwa wa Tanzania Bara YANGA, Mwishoni mwa wiki hii wanatarajia kushuka katika dimba la uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam,
Read more...
   

Page 49 of 50

  • FACEBOOK PAGE

  • TWITTER FEEDS

yanga1935: Kikosi cha timu ya Young Africans Sports Club mara baada ya mazoezi ya leo asubuhi katika uwanja wa mabatini... http://t.co/3DVz4gjHRb
yanga1935: Baada ya kuichapa timu ya Kagera Sugar kwa bao 1-0 katika mchezo uliopita mwishoni wa wiki, timu ya Young... http://t.co/ydxnQuDxUG
yanga1935: Baada ya kuichapa timu ya Kagera Sugar kwa bao 1-0 katika mchezo uliopita mwishoni wa wiki, timu ya Young... http://t.co/m5INeORySi
yanga1935: Kikosi cha timu ya Young Africans leo kimeendelea na mazoezi asubuhi katika uwanja wa mabatini Kijitonyama... http://t.co/rO4zxtgQ2s
AddThis Social Bookmark Button
mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday690
mod_vvisit_counterYesterday1814
mod_vvisit_counterThis week7820
mod_vvisit_counterLast week15988
mod_vvisit_counterThis month13289
mod_vvisit_counterLast month50671
mod_vvisit_counterAll days379726

We have: 44 guests, 2 bots online
Your IP: 207.241.237.105
Mozilla 5.0, 
Today: Mar 08, 2013