
YANGA YAWASILI DAR, KUIVAA ASHANTI KESHO
VIEWED 2937 TIMES
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom nchini Tanzania bara Young Africans tayari wameshawasili salama jijini Dar es salaam wakitokea jijini Antalya nchini Uturuki walipokuwa wameweka kambi ya wiki mbili kwa ajili ya maandalizi ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu na mashindano ya klabu Bingwa Afrika barani Afrika.
Read more...




















