our line up today versus Coast Union
1 Deo Munshi (Dida) 2: Juma abdul
3:Oscar Joshua 4: Vicent Bossue
4: Kelvin Yondan 5: Mbuyu Twite
6: Simon Msuva 7: Thaaban Kamusoko
7: Deus Kaseke 8: Donald Ngoma
11: Amis Tambwe
![]() Young Africans is one of the oldest football teams in East Africa, The Club was established in the year 1935. The club won Tanzania Premier League 24 times, Tanzania Cup 4 times and CECAFA cup 5 times. |
1 Deo Munshi (Dida) 2: Juma abdul
3:Oscar Joshua 4: Vicent Bossue
4: Kelvin Yondan 5: Mbuyu Twite
6: Simon Msuva 7: Thaaban Kamusoko
7: Deus Kaseke 8: Donald Ngoma
11: Amis Tambwe

VIEWED 9994 TIMES
Mechi ya Nani Mtani Jembe namba 2 itafanyika kesho siku ya jumamosi katika dimba la Uwanja ambapo itawakutanisha Young Africans Sports Club dhidi ya Simba SC huku timu zote zikitarajiwa kuwatumia wachezai wao wapya zilizowasajili katika kipindi cha dirisha dogo.
Read more...
VIEWED 3498 TIMES
Kikosi cha wa waliokuwa wawakilishi pekee wa mashindano ya kimataifa nchini Tanzania Young Africans kinatarajiwa kuwasili kesho alfajiri jijini Dar es salaam kwa shirika la ndege la Egypt Air kikitokea jijini Cairo nchini Misri kilipokuwa na mchezo wa marudiano dhidi ya Al Ahly na kutolewa kwa mikwaju ya penati 4-3 mchezo uliofanyika katika Uwanja wa El Max jijini Alexandria.
Read more...
VIEWED 6596 TIMES
Young Africans imetolewa kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Barani Afrika na mabingwa watetezi Al Ahly kwa mikwaju ya penati 4-3 kufuatia kumalizika kwa dakika 90 za mchezo Al Ahly ikiwa na bao 1- 0 hivyo kufanya matokeo ya jumla kuwa 1-1 mchezo uliofanyika usiku wa leo katika Uwanja wa El Max jijini Alexadria.
Read more...Page 1 of 99
