You are here: Home

The Official Website of Young Africans Sports Club

CHELSEA -UEFA CHAMPIONS 2011/2012

CHELSEA UEFA CHAMPIONS 2011/2012

2012-05-21 11:28:06 VIEWED 1989 TIMES

Chelsea have made history by becoming the champions of Europe after an enthralling match against Bayern Munich ended with the Blues winning a penalty shoot-out 4-3 after the game had ended 1-1, and Roberto Di Matteo was understandably struggling to take in what he had witnessed.

Read more...
 

CHELSEA 1 BARCELONA 0

2012-04-19 12:56:33 VIEWED 1495 TIMES
Didier Drogba aliishangaza Barcelona alipofunga bao la Chelsea, na la pekee, katika mechi dhidi ya Barcelona, na kuiongezea timu yake matumaini ya kufika katika fainali ya klabu bingwa barani Ulaya.
Read more...
 

BALOTELLI ASEMA HATAONDOKA MAN CITY

2012-04-19 12:30:42 VIEWED 1293 TIMES
Meneja Roberto Mancini alikiri angekuwa tayari kumuuza mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Italia baada ya kutolewa nje kwa kadi nyekundu walipopambana na Arsenal.
Read more...
   

YOUNG AFRICANS, ZAMALEK SETTLED FOR A DRAW

CREDIT TO CAF: VIEWED 1829 TIMES
Tanzania soccer kings Young Africans settled for one all draw against visiting Zamalek of Egypt in a preliminary round- first leg of Champions league match played on Saturday at the National Stadium in Dar es Salaam.
Read more...
 

David Beckham apinga kauli ya Blatter.

Article hits: 2156 Views.

Kiungo wa kimataifa ambaye pia aliwahi kuwa nahodha wa timu ya taifa ya England David amesema taarifa iliyotolewa na rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter juu ya ubaguzi wa rangi kuwa haupo uwanjani linahitaji kutolewa ufafanuzi.
Beckham ambaye sasa ameamea kusakata soka barani ulaya baada ya kuitumikia klabu ya LA Galaxy ya nchini Marekani kwa kipindi cha miaka mitano amesema kauli iliyotolewa na bosi wa FIFA siyo ya kufurahisha.
“Nafikiri kauli iliyotolewa Sepp Blatter juu ya ubaguzi wa rangi inahitaji kupingwa” alisema nahodha huyo wa zamani David Bekham.

Read more...
   

Page 2 of 80

  • FACEBOOK

  • TWITTER