You are here: Home

The Official Website of Young Africans Sports Club

YANGA YAWASILI DAR, KUIVAA ASHANTI KESHO

VIEWED 3379 TIMES

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom nchini Tanzania bara Young Africans tayari wameshawasili salama jijini Dar es salaam wakitokea jijini Antalya nchini Uturuki walipokuwa wameweka kambi ya wiki mbili kwa ajili ya maandalizi ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu na mashindano ya klabu Bingwa Afrika barani Afrika.

Read more...
 

YANGA YAENDELEA KUJIFUA, KUONDOKA KESHO UTURUKI

VIEWED 2306 TIMES

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans leo imeendelea na mazoezi ya asubuhi katika viwanja vya hoteli ya Sueno katika kuendelea kujiweka sawa kabla ya kuanza safari kesho mchana ya kurejea nchini Tanzania tayari kwa mikikimikiki ya mzunguko wa pili wa VPL 2013/2014.

Read more...
 

YANGA 2-2 SIMURQ HIGHLIGHTS

VIEWED 2520 TIMES
Young Africans imekamlisha ziara ya kambi yake nchini Uturuki bila ya kupoteza mchezo hata mmoja baada ya leo kutoka sare ya mabao 2-2 dhidi ya timu ya Simurq PIK inayoshiriki Ligi Kuu nchini Azerbajain katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika jioni ya leo katika viwanja vya Side Star Hotel Complex Manavgat jijini Antalya Uturuki.
Waweza tazama kipande cha mchezo wa jana pamoja na magoli yake kati ya Young Africans 2-2 Simurq PIK hapa
Read more...
   

YANGA 2- 2 SIMURQ PIK

VIEWED 3453 TIMES

Young Africans imekamlisha ziara ya kambi yake nchini Uturuki bila ya kupoteza mchezo hata mmoja baada ya leo kutoka sare ya mabao 2-2 dhidi ya timu ya Simurq PIK inayoshiriki Ligi Kuu nchini Azerbajain katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika jioni ya leo katika viwanja vya Side Star Hotel Complex Manavgat jijini Antalya Uturuki.

Read more...
 

YANGA KUMALIZA NA SIMURQ PIK

VIEWED 2438 TIMES

Young Africans kesho jumatatu saa 8 mchana kwa saa za nchini Uturuki sawa na saa 9 kamili kwa saa za Afrika Mashariki itashuka dimbani kucheza mchezo wake wa mwisho wa kirafiki dhidi ya timu ya Simurq PIK inayoshiriki Ligi Kuu nchini Azerbajain katika viwanja vya Side Manavgat.

Read more...
   

Page 10 of 80

  • FACEBOOK

  • TWITTER