You are here: Home

The Official Website of Young Africans Sports Club

YOUNG AFRICANS KUIVAA SOFAPAKA FC

VIEWED 1347 TIMES

 

Timu ya Young Africans Sports Club siku ya jumamosi inatarajia kucheza kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya Sofapaka FC kutoka nchini Kenya.

Mchezo huo wa kirafiki ulioandaliwa na Elite Youth Academy utafanyika katika Uwanja wa Taifa uliopo jijini Dar es salaa, kuanzia mida ya saa 10:00 jioni kwa saa za Afrika Mashariki. Young Africans itautumia mchezo huo kama maandalizi ya kujiandaa na mzunguko wa pili wa ligi ya Vodacom utakaonza tare 21 Januari 2012 na kujiandaa na mashindano ya Klabu Bingwa Afrika.

Read more...
 

KIIZA NAMED PLAYER OF THE YEAR 2011

Article hits: 1016 Views.

Hamis ‘Diego’ Kiiza was on Monday named Footballer of the Year by the Uganda Sports Press Association (USPA).

The Yanga striker beat off competition from Cranes teammates Dennis Onyango (Mamelodi Sundowns, South Africa), Andy Mwesigwa (FC Ordabasy, Kazakhstan) and David Obua (Hearts, Scotland).

Read more...
 

KIM ATAJA KIKOSI CHA COSAFA

Article hits: 1135 Views.
Kocha Mkuu wa timu za Taifa za vijana, Kim Poulsen ametangaza kikosi cha wachezaji 20 wa timu ya Taifa kwa vijana chini ya miaka 20 (Ngorongoro Heroes) kitakachoshiriki michuano ya umri huo ya Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Kusini mwa Afrika (COSAFA).

Michuano hiyo itafanyika Gaborone, Botswana kuanzia Desemba 1-10 mwaka huu ikishirikisha timu za mataifa 11 wanachama wa COSAFA na Tanzania inayoshiriki kama mwalikwa.

Wachezaji walioitwa kwenye kikosi hicho ni Saleh Malande (Simba), Jackson Wandwi (Azam), Hassan Kessy (Mtibwa Sugar), Khamis Mroki (Mtibwa Suagr), Issa Rashid (Mtibwa Sugar), Said Samir (Kagera Sugar), Samuel Mkomola (Azam), Frank Domayo (JKT Ruvu Stars) na Omega Seme (Yanga0.

Wengine ni Atupele Green (Yanga), Jerome Reuben (Moro United), Simon Happygod (Azam), Ramadhan Singano (Simba), Abdallah Hussein (AFC), Rajab Mohamed (Moro United), Amani Kyata (TSA), Edward Shija (Simba), Emily Josiah (TSC Mwanza), Frank Sekule (Simba) na Hassan Dilunga (Ruvu Shooting Stars).

Read more...
   

MICHUANO YA UHAI CUP 2011

ARTICLE HITS: 1143 TIMES.

Timu 15 zinazoshiriki michuano ya mwaka huu ya Kombe la Uhai zimepangwa katika makundi matatu ambapo mechi zitachezwa katika viwanja viwili; Uwanja wa Karume na Uwanja wa Azam ulioko Chamazi, Mbande.

Mashindano hayo yanashirikisha timu zenye umri chini ya miaka 20 za klabu zote 14 za Ligi Kuu ya Vodacom wakati timu mwalikwa mwaka huu ni timu ya Taifa kwa vijana wenye umri chini ya miaka 17 (Serengeti Boys).

Mabingwa watetezi Ruvu Shooting Stars ndiyo wanaoongoza kundi A katika michuano hiyo inayodhaminiwa na Kampuni ya Said Salim Bakhresa kupitia bidhaa yake ya maji Uhai. Timu nyingine katika kundi hilo ni Oljoro JKT, Kagera Sugar, Azam na Mtibwa Sugar.

Read more...
 

Asamoah,Berko waenda mapunzikoni.

ARTICLE HITS: 1192 TIMES

Wachezaji wa kimataifa kutoka nchini Ghana, Kenneth Asamoah na Yaw Berko wameondoka jijini Dar es Salaam alfajiri ya leo kwenda nchini Ghana kwa ajili ya mapunziko ya muda mfupi. Wachezaji hao wameondoka baada ya Uongozi wa mabingwa wa soka kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati kutoa mapunziko ya wiki tatu kabla ya kuingia katika hatua nyingine ya mzunguko wa ligi kuu pamoja na michuano ya kimataifa inayoikabili Klabu ya Yanga ikiwemo mashindano ya Klabu Bingwa barani Afrika na michuano ya Kombe la Kagame. Akizungumza na www.youngafricans.co.tz , Afisa Habari wa Klabu ya Yanga,

Read more...
   

Page 78 of 80

  • FACEBOOK

  • TWITTER