VIINGILIO, YANGA NA ZAMALEKI VYATANGAZWA
2012-02-15 15:42:15 VIEWED 1094 TIMES
Kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania pambano la Yanga na Zamalek limeingia katika historia mpya kufuatia tiketi za mchezo huo kuwa za kisasa ambazo tayari zimekwisha tua nchini. Kindamba amesema tiketi hizo zitasaidia kufahamu idadi ya watu watakaoingia uwanjani hapo kabla ya pambano hilo kuanza.
Read more...




