You are here: Home

The Official Website of Young Africans Sports Club

VILLA, YANGA KUCHEZA TAIFA

2012-03-16 15:00:25 VIEWED 837 TIMES
Timu za Villa Squad na Yanga zinapambana kesho (Machi 17 mwaka huu) katika mechi namba 142 ya Ligi Kuu ya Vodacom itakayofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Read more...
 

YANGA YAICHAPA AFRICAN LYON 1-0

2012-03-15 11:49:15 VIEWED 1196 TIMES
Timu ya Young Africans Sports Club imefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya timu ya African Lyon na kufikisha pointi 40, katika mchezo wa ligi kuu ya Vodacom nchini Tanzania bara, mechi iliyofanyika katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Read more...
 

TFF YAWAFUNGIA WACHEZAJI WA TANO WA YANGA

2012-03-13 14:26:30 VIEWED 1077 TIMES
Kamati ya Ligi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) iliyokutana Dar es Salaam jana (Machi 12 mwaka huu) imetoa adhabu kwa klabu mbalimbali na wachezaji sita wakiwemo watano wa Yanga.
Read more...
   

YANGA, AZAM ZAINGIZA MIL 72/-

2012-03-13 13:08:49 VIEWED 807 TIMES
YANGA, AZAM ZAINGIZA MIL 72/-
Mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom kati ya Yanga na Azam lililochezwa Machi 10 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam limeingiza sh. 72,731,000.
Read more...
 

YANGA KUIVAA AZAM JUMAMOSI

2012-03-07 11:07:28 VIEWED 1014 TIMES
Kikosi cha Mabingwa wa ligi kuu Tanzania Bara Young Africans Sports Club kimeendelea na mazoezi katika viwanja wa vya shule ya Sekondari Loyola na shule ya IST kujiandaa na mchezo wa ligi kuu ya Vodacom dhidi ya timu ya Azam FC siku uya jumamosi katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam. Read more...
   

Page 73 of 80

  • FACEBOOK

  • TWITTER