
YANGA KUIVAA COASTAL UNION JUMAMOSI
2012-03-28 08:58:47 VIEWED 843 TIMES
Kikosi cha Mabingwa wa ligi kuu Tanzania Bara Young Africans Sports Club kimeendelea na mazoezi katika viwanja wa vya chuo cha Ustawi wa Jamii na kampuni ya mafuta Kigamboni Tipper kujiandaa na mchezo wa ligi kuu ya Vodacom dhidi ya timu ya Coastal Union siku uya jumamosi katika uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga.
Read more...


