You are here: Home

The Official Website of Young Africans Sports Club

YANGA YAICHAPA 1-0 MBEYA CITY

VIEWED 4206 TIMES

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans leo imevunja mwiko wa timu ya Mbeya City kucheza michezo ya Ligi bila kufungwa baada ya kuichapa bao 1-0 katika mchezo uliofanyika katika dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Read more...
 

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

VIEWED 4188 TIMES
Hivi karibuni kumekuwa na madai ya kutoridhishwa na mwenendo wa timu, taarifa za hujuma ndani ya timu yetu ya mpira, uongozi na baadhi ya wanachama.
Ni haki na ni kwa nia njema tu ya wanachama kuhoji mwenendo wa timu yao pale wanapoona-hairidhishi, Ni wajibu wa wanachama kuchanganua mawazo mema na mabaya.
Read more...
 

YANGA KUIVAA MBEYA CITY

VIEWED 2146 TIMES

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans kesho siku ya jumapili itashuka dimbani kuivaa timu ya Mbeya City FC kutoka jijini Mbeya katika muendelezo wa michezo ya mzunguko wa pili, mechi itakaofanyika katika dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Read more...
   

MKWASA - NIYONZIMA, CANNAVARO HAWAKUPIGANA

VIEWED 3288 TIMES

Benchi la Ufundi la klabu ya Young Africans limesikitishwa na taarifa zilizoenea kwenye baadhi ya vyombo vya habari kwamba wachezaji wa Young Africans kiungo Haruna Niyonzima na nahodha Nadir Haroub "Cannavaro" walipigana katika mchezo dhidi ya Coastal Union siku ya jumatano jijini Tanga kuwa hazina ukweli wowote bali ni katika kutaka kuharibu twasira ya timu.

Read more...
 

YANGA 0 - 0 COASTAL

VIEWED 2201 TIMES

Young Africans imetoka sare ya bila kufungana (0-0) dhidi ya wenyeji timu ya Coastal Union katika mchezo wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom uliofanyika leo katika dimba la Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga.

Read more...
   

Page 8 of 80

  • FACEBOOK

  • TWITTER