
YANGA YAWASILI COMORO
VIEWED 2432 TIMES
Kikosi cha Young Africans kimewasili tayari kimewasili salama katika Visiwa vya Comoro majira ya saa 6 kamili mchana kwa shirika la ndege la Precison Air na kupokelewa na wenyeji wao kisha moja kwa moja kuelekea katika hotel ya Retaj Moroni ambapo ndipo msafara wa watu 30 ulipofikia.
Read more...



