You are here: Home

The Official Website of Young Africans Sports Club

YANGA Vs Al AHLY KESHO

VIEWED 4507 TIMES

Mchezo wa kuwania kuingia hatua ya 16 bora wa Mashindano ya Klabu Bingwa Barani Afrika kati ya wenyeji timu ya Young Africans dhidi ya timu ya National Al Ahly utafanyika kesho katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam huku tayari tiketi za mchezo huo zikinunuliwa kwa wingi na wapenzi wa soka kwa ujumla.

Read more...
 

YANGA YAJICHIMBIA KUNDUCHI

VIEWED 4040 TIMES

Wawakilishi pekee wa Tanzania kwenye Mashindano ya Klabu Bingwa Barani Afrika timu ya Young Africans imeingia kambini katika hotel ya Laico Ledger iliyopo eneo la Bahari Bahari Beach Kunduchi kujiandaa na mchezo wa siku ya jumamosi dhidi ya timu ya Al Ahly kutoka nchini Misri mchezo utakaopigwa katika dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Read more...
 

YANGA HAIKAMATIKI, YAICHAPA RUVU SHOOTING 7-0

VIEWED 5766 TIMES

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara timu ya Young Africans leo imeichabanga bila huruma timu ya Maafande wa Jeshi la Kujenga Taifa nchini Ruvu Shooting kwa mabao 7-0 katika mchezo uliofanyika kwenye dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Read more...
   

YANGA KUIVAA RUVU SHOOTING KESHO

VIEWED 2491 TIMES

Young Africans kesho itashuka dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kupambana na timu ya maafande wa Jeshi la Kujenga Taifa Ruvu Shooting katika mchezo wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara 2013/2014, huku mshambuliaji Emmanuel Okwi akitarajiwa kuonekana uwanjani kwa mara ya kwanza kwenye mikikimikiki ya VPL.

Read more...
 

YANGA YAJIFUA KUWAVAA RUVU SHOOTING

VIEWED 2062 TIMES

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara timu ya Young Africans wameendelea na mazoezi kujiandaa na mchezo wake wa siku ya jumamosi dhidi ya Maaafande wa Jeshi la Kujenga Taifa Ruvu Shooting ikiwa ni katika muendelezo wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu utakaofanyika katika dimba la Taifa jijini Dar es salaam.

Read more...
   

Page 5 of 80

  • FACEBOOK

  • TWITTER