You are here: Home

The Official Website of Young Africans Sports Club

YANGA, AL AHLY KUCHEZA ALEXANDRIA

VIEWED 5726 TIMES

Baada ya utata juu ya ni sehemu gani utakaofanyika mchezo wa marudiano kati ya wenyeji Al Ahly dhidi ya wawakilishi pekee wa Tanzania kwenye mashindano ya Kimataifa Young Africans huku ikiwa iebakia siku tatu kabla ya mchezo, maamuzi ya shirikisho la soka nchini Misri yameamulu mchezo huo utafanyika mjini Alexandria katika Uwanja wa Border Guard stadium (Haras el Hadod)

Read more...
 

MAMLUKI BIN ZUBEIRY

VIEWED 10415 TIMES

Uongozi wa Young Africans unawaomba wapenzi, wanachama na wadau wa soka kuacha kusoma habari za blog ya Bin Zubeiry kutokana na kuandika taarifa zisizokuwa na ukweli huku lengo lake kubwa likiwa ni kuhakikisha timu ya Young Africans inafanya vibaya kwenye michezo yake na kuwavunja moyo viongozi wake pamoja na wachezaji.

Read more...
 

AJABU AL AHLY HAWAJUI MECHI ITACHEZWA WAPI

VIEWED 5255 TIMES

Katika hali ya kushangaza wenyeji timu ya Al Ahly mpaka sasa wameshindwa kuwadhibitishia viongozi wa Young Africans pamoja na Ubalozi wa Tanzania nchini Misri juu ya Uwanja utakaotumika kwa ajili ya mchezo wa marudiano Klabu Bingwa Barani Afrika siku ya jumapili.

Read more...
   

YANGA KUWAVAA AL AHLY JUMAPILI JIJINI CAIRO

VIEWED 4046 TIMES

Wawakilishi pekee wa Tanzania kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Barani Afrika timu ya Young Africans itacheza mchezo wa marudiano siku ya jumapili jijini Cairo dhidi ya timu ya Al Ahly ukiwa ni mchezo utakaotoa picha halisi ni timu gani itasonga mbele katika hatua ya 16 bora. Read more...
 

YANGA YAICHAPA AL AHLY 1-0

VIEWED 7648 TIMES

Bao la dakika ya 82 ya mchezo liliowekwa wavuni na Naodha wa timu ya Young Africans Nadir Haroub "Cannavaro" limepelekea watoto wa Jangwani kuvunja mwiko wa Waarabu baada ya dakika 90 za mchezo za mwamuzi Bezez Haileysus kumalizika na kuibuka na ushindi wa bao 1-0 mchezo uliofanyika dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Read more...
   

Page 4 of 80

  • FACEBOOK

  • TWITTER