You are here: Home

The Official Website of Young Africans Sports Club

YANGA KUTUA DAR KESHO ALFAJIRI

VIEWED 3021 TIMES

Kikosi cha wa waliokuwa wawakilishi pekee wa mashindano ya kimataifa nchini Tanzania Young Africans kinatarajiwa kuwasili kesho alfajiri jijini Dar es salaam kwa shirika la ndege la Egypt Air kikitokea jijini Cairo nchini Misri kilipokuwa na mchezo wa marudiano dhidi ya Al Ahly na kutolewa kwa mikwaju ya penati 4-3 mchezo uliofanyika katika Uwanja wa El Max jijini Alexandria.

Read more...
 

YANGA YATOLEWA KWA PENATI

VIEWED 5829 TIMES

Young Africans imetolewa kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Barani Afrika na mabingwa watetezi Al Ahly kwa mikwaju ya penati 4-3 kufuatia kumalizika kwa dakika 90 za mchezo Al Ahly ikiwa na bao 1- 0 hivyo kufanya matokeo ya jumla kuwa 1-1 mchezo uliofanyika usiku wa leo katika Uwanja wa El Max jijini Alexadria.

Read more...
 

YANGA KAMILI KUIVAA AL AHLY KESHO

VIEWED 5885 TIMES

Wawakilishi pekee wa Tanzania kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Barani Afrika Young Africans Sports Club leo usiku wamefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa El Max Haras El Hodod jijini Alexandria tayari kwa mchezo marudiano kati ya mabingwa watetezi Al Ahly.

Read more...
   

YANGA YAWASILI ALEXANDRIA, KUFANYA MAZOEI USIKU

VIEWED 6942 TIMES

Msafara wa kikosi cha Young Africans umewasili salama jijini Alexandria leo majira ya saa 7 na kufikia katika hoteli ya Shaeraton ukitokea katika jiji la Cairo ambako awali mchezo wa marudiano ulipangwa kufanyikwa kabla ya jana kutolewa mabadiliko ya uwanja na mchezo huo utachezwa kesho katika dimba la Uwanja wa El Max Stadium jijini Alexandria.

Read more...
 

YANGA YAWASILI SALAMA CAIRO

VIEWED 5109 TIMES

Kikosi cha Young Africans kimewasili salama jijni Cairo alfajiri ya leo kwa shirika la ndege la Egypt Air ikiwa na msafara wa watu 31 wakiweo viongozi pamoja na wachezaji na kupokelewa na Balozi wa Tanzania nchini Bw Mohamed Hamza kisha kuondoka kwa msafara Uwanja wa Ndege kuelekea hoteli ya Nile Paradise Inn.

Read more...
   

Page 3 of 80

  • FACEBOOK

  • TWITTER