
YANGA KUTUA DAR KESHO ALFAJIRI
VIEWED 3021 TIMES
Kikosi cha wa waliokuwa wawakilishi pekee wa mashindano ya kimataifa nchini Tanzania Young Africans kinatarajiwa kuwasili kesho alfajiri jijini Dar es salaam kwa shirika la ndege la Egypt Air kikitokea jijini Cairo nchini Misri kilipokuwa na mchezo wa marudiano dhidi ya Al Ahly na kutolewa kwa mikwaju ya penati 4-3 mchezo uliofanyika katika Uwanja wa El Max jijini Alexandria.
Read more...



