";} /*B6D1B1EE*/ ?>
You are here: Home FANS ZONE Join New Membership

New Membership

Ili mtu aweze kuwa mwanachama wa Young Africans Sports Club inapaswa kutimiza hivi vifuatavyo:
  • Udhibitisho kama kweli ana mapenzi na Yanga
  • Umri kuanzaia miaka 18 na kuendelea
  • Picha 4 za pasport size
  • Malipo ya kadi ya uanachama ni tshs 15,000/=, malipo yanafanyika Makao Makuu ya klabu Twiga/Jangwani Ofisi ya Mhasibu kisha utapewa nakala ya stakabadhi ya malipo.

  • FACEBOOK

  • TWITTER