You are here: Home NEWS Local News

Local News

News

EMERSON ASAINI YANGA

VIEWED 5599 TIMES

Kiungo Emerson De Oliveira Neves Roque leo amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia klabu ya Young Africans baada ya benchi la ufundi kuridhika na uwezo wake,na mchezaji mwenyewe kufikia makubaliano hayo ya kuwatumikia watoto wa Jangwani.

Last Updated on Monday, 01 December 2014 10:33

Read more...

 

News

EMERSON AANZA MAZOEZI

VIEWED 6641 TIMES

Baada ya kuwasili jana kutoka nchini Brazil, kiungo mkabaji Emerson de Oliveira Neves Roque leo ameanza mazoezi mepesi asubuhi katika Uwanja wa shule ya Sekondari Loyola kufuatia kusaifri kwa zaidi ya masaa 11 kutoka jijini Rio de Janeiro.

Last Updated on Thursday, 27 November 2014 10:20

Read more...

 

News

EMERSON DE OLIVEIRA KUWASILI JUMANNE

VIEWED 7111 TIMES

Kiungo mkabaji raia wa Brazil Emerson De Oliveira Neves Rouqe anatarajiwa kuwasili siku ya jumanne mchana jijini Dar es salaam kwa ajili ya majaribio katika klabu ya Young Africans na endapo atafuzu moja kwa moja atajiunga na mabingwa mara 24 wa Ligi Kuu Tanzania bara.

Last Updated on Saturday, 22 November 2014 11:12

Read more...

   

News

YANGA YAICHAPA MGAMBO 2-0

VIEWED 5893 TIMES

Young Africans imebuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya timu ya JKT Mgambo ya jijini Tanga mchezo uliofanyika jioni ya leo dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, huku Saimon Msuva akibuka shujaa kwa kukwamisha wavuni mabao yote mawili.

Last Updated on Saturday, 08 November 2014 16:28

Read more...

 

News

YANGA KUIVAA MGAMBO KESHO TAIFA

VIEWED 1702 TIMES

Mabingwa mara 24 wa Ligi Kuu ya Tanzania bara timu ya Young Africans kesho watashuka dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam kucheza na timu ya Mgambo JKT kutoka mkoani Tanga katika muendelezo wa michezo ya VPL mzunguko wa nane.

Last Updated on Friday, 07 November 2014 07:39

Read more...

   

  • FACEBOOK

  • TWITTER