
YANGA YAANZA KAZI UFUKWENI
VIEWED 7701 TIMES
Kikosi cha Young Africans leo asubuhi kimeendelea na mazoezi katika Ufukwe wa Coco Beach chini ya kocha mkuu mpya mbrazil Marcio Maximo tayari kwa mikikimikiki ya Ligi Kuu ya Vodacom msimu wa 2014/2015 na mashindano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika.
Last Updated on Tuesday, 01 July 2014 08:01


