You are here: Home NEWS Local News

Local News

News

YANGA YAANZA KAZI UFUKWENI

VIEWED 7701 TIMES

Kikosi cha Young Africans leo asubuhi kimeendelea na mazoezi katika Ufukwe wa Coco Beach chini ya kocha mkuu mpya mbrazil Marcio Maximo tayari kwa mikikimikiki ya Ligi Kuu ya Vodacom msimu wa 2014/2015 na mashindano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika.

Last Updated on Tuesday, 01 July 2014 08:01

Read more...

 

News

COUTINHO AANGUKA MIWILI YANGA

VIEWED 6856 TIMES

Kiungo mshamabuliaji Andrey Marcel Ferreira Coutinho raia wa Brazil leo amesaini mkataba wa miwili kuitumikia timu ya Young Africans kwa ajili ya michuano mbalimbali ikiwemo ya Ligi Kuu ya Vodacom pamoja na mashindano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika.

Last Updated on Monday, 30 June 2014 14:32

Read more...

 

News

MAXIMO ASAINI MIWILI YANGA

VIEWED 4443 TIMES

Kocha mbrazil Marcio Maximo leo amesaini mkataba wa miaka miwili kwa ajili ya kuwatumikia Mabingwa mara 24 wa Ligi Kuu ya Vodacom timu ya Young Africans pamoja na msaidizi wake Leonadro Neiva ambao wamesema wamekuja kuisaidia Yanga iweze kufanya vizuri kwenye michuano mbalimbali.

Last Updated on Friday, 27 June 2014 17:24

Read more...

   

News

COUTINHO AWASILI

VIEWED 7329 TIMES

Kiungo mshambuliaji mpya wa timu ya Young Africans SC Andrey Marcel Ferreira Coutinho amewasili mchana wa leo jijini Dar es salaam akitokea kwao nchini Brazil tayari kabisa kwa kuanza kazi ya kuwatumikia wana Wanajangwani katika msimu wa 2014/2015.

Last Updated on Friday, 27 June 2014 16:25

Read more...

 

News

MAXIMO AWASILI, COUTINHO KESHO

VIEWED 6792 TIMES

Kocha Mbrazil Marcio Marcel Maximo tayari ameshawasili jijini Dar es salaam kwa ajili ya kuanza kazi kukinoa kikosi cha timu ya Young Africans kwa ajili ya msimu ujao kwenye mashindano ya Ligi Kuu ya Vodacom pamoja na mashindano ya Kimataifa.

Last Updated on Thursday, 26 June 2014 16:22

Read more...

   

  • FACEBOOK

  • TWITTER