YANGA WAISHANGAA CECAFA
VIEWED 9651 TIMES
Uongozi wa klabu ya Young Africans leo umefanya mkutano na waandishi wa habari nchini na kusema kilichofanywa na waandaji wa michuano ya Kombe la Vilabu Bingwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) kuiondoa timu isishiriki ni cha kushangaza sana na kinadidimiza soka kwa ujumla.
Last Updated on Wednesday, 06 August 2014 12:46




