You are here: Home NEWS Local News

Local News

News

YANGA YAICHAPA THIKA 1-0

VIEWED 6083 TIMES

Young Africans imeendeleza wimbi lake la ushindi kwenye michezo ya kirafiki baada ya leo kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya timu ya Thika United katika mchezo uliofanyika jioni ya leo katika dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Last Updated on Wednesday, 03 September 2014 17:26

Read more...

 

News

YANGA YAINGIA MAKUBALIANO NA CRDB

VIEWED 3537 TIMES

Uongozi wa klabu ya Young Africans leo umewekeana sahihi ya makubaliano na Benki ya CRDB nchini juu ya uboreshaji na utengenezaji wa kadi za uanachama, hafla hiyo imefanyika katika Makao Makuu ya Benki hiyo eneo la Posta mpya jijni Dar es salaam.

Last Updated on Tuesday, 02 September 2014 10:42

Read more...

 

News

YANGA KUIVAA THIKA UNITED KESHO

VIEWED 2522 TIMES

Timu ya Young Africans kesho itashuka kwenye dimba la Uwanja wa Taifa kupambana na timu ya Thika United inayoshiriki Ligi Kuu nchini Kenya katika mchezo wa kirafiki wa Kimataifa wa kujipima nguvu kabla ya kuanza kwa mikikimikiki ya Ligi Kuu ya Vodacom Septemba 20 mwaka huu.

Last Updated on Tuesday, 02 September 2014 09:26

Read more...

   

News

KAMATI ZA UFUNDI, MASHINDANO NA VIJANA ZATANGAZWA

VIEWED 3719 TIMES
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Wajumbe Wenza wa Kamati ya Utendaji ya YANGA (Maendelo ya Michezo), Ndugu Seif Ahmed na Engineer Isaac Chanji, wanapenda kutoa taarifa kupitia vyombo vya habari kwa wanaYANGA, wameunda Kamati ndogo chini ya Kamati ya Utendaji ya YANGA zifuatazo:
Last Updated on Sunday, 31 August 2014 07:50

Read more...

 

News

YANGA YATANGAZA KAMATI ZA NIDHAMU, SHERIA NA MAADILI

VIEWED 6465 TIMES

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Mwanasheria Sam Mapande, Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya YANGA –(Utawala Bora) anapenda kutoa taarifa kupitia vyombo vya habari kwa wana YANGA,ameunda Kamati ndogo chini ya Kamati ya Utendaji wa YANGA zifuatazo:
Last Updated on Saturday, 30 August 2014 12:21

Read more...

   

  • FACEBOOK

  • TWITTER