You are here: Home NEWS Local News

Local News

News

YANGA KUIFUATA MTIBWA KESHO

VIEWED 3723 TIMES

Washindi wa Ngao ya Jamii msimu wa 2014/2015 timu ya Young Africans kesho asubuhi wanatarajia kuondoka jijini Dar es salaam kuelekea mjini Morogoro tayari kwa mechi ya ufunguzi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara dhidi ya wakata miwa Mtibwa Sugar katika dimba la Uwanja Jamhuri.

Last Updated on Friday, 19 September 2014 15:30

Read more...

 

News

YANGA YAILAZA AZAM 3- 0

VIEWED 11509 TIMES

Mjini Kila Mtu ni Jaja tu......

Wengine mwisho wao Chalinze....

Hayo ni maneno ya wapenzi wa soka walioshuhudia mchezo wa leo kati ya Young Africans dhidi ya Azam FC baada ya mbrazil huyo kuonyesha kazi ya mshambuliaji uwanjani.

Mshambuliaji wa kimataifa kutoka nchini Brazil Geilson Santos "Jaja" leo amewaonyesha wapenzi wa soka nchini nini kazi yake uwanjani baada ya kuisadia Young Africans kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 huku yeye akikwamisha mabao mawili safi mchezo uliofanyika katika dimba la Uwanja wa Taifa jijni Dar es salaam.

Last Updated on Monday, 15 September 2014 04:55

Read more...

 

News

YANGA KUIVAA AZAM KESHO

VIEWED 3569 TIMES

Pazia la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara litafunguliwa kesho kwa mchezo wa Ngao ya Jamii kwa Young Africans kucheza na timu ya Azam FC kwenye dimba la Uwanja wa Taifa kuanzia majia ya saa 10:00 jioni kwa saa za Afrika Mashariki.

Last Updated on Saturday, 13 September 2014 08:18

Read more...

   

News

YANGA KUKATAA RUFAA FIFA

VIEWED 5991 TIMES
Uongozi wa klabu ya Yanga umesema utapinga maamuzi ya kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji kuhusiana na maamuzi yake ya kumtangaza mchezaji wake, Emmanuel Okwi kuwa huru.
Last Updated on Monday, 08 September 2014 13:32

Read more...

 

News

YANGA KUIVAA BIG BULLETS JUMAPILI

VIEWED 3417 TIMES

Timu ya Young Africans itashuka dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam siku ya jumapili kucheza mchezo wake wa mwisho wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya timu ya Big Bullets FC (zamani Bata Bullets) inayoshiriki Ligi Kuu ya TNM nchini Malawi.

Last Updated on Friday, 05 September 2014 10:28

Read more...

   

  • FACEBOOK

  • TWITTER