YANGA KUIFUATA MTIBWA KESHO
VIEWED 3723 TIMES
Washindi wa Ngao ya Jamii msimu wa 2014/2015 timu ya Young Africans kesho asubuhi wanatarajia kuondoka jijini Dar es salaam kuelekea mjini Morogoro tayari kwa mechi ya ufunguzi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara dhidi ya wakata miwa Mtibwa Sugar katika dimba la Uwanja Jamhuri.
Last Updated on Friday, 19 September 2014 15:30

