YANGA YAWASILI SHINYANGA, KUIVAA STAND KESHO
VIEWED 2002 TIMES
Msafara wa watu 40, ukiwa na jumla na jumla ya wachezaji 28 wa kikosi cha kwanza wa timu ya Young Africans tayari umeshawasili salama mjini Shinyanga na kupokelewa na wapenzi, washabiki na wanachama wa timu hiyo katika eneo la Tinde (km 35) kwa ajili ya mchezo dhidi ya timu ya Stand United.
Last Updated on Friday, 24 October 2014 13:32


