You are here: Home NEWS International News 29 WAREJESHA FOMU

29 WAREJESHA FOMU

E-mail Print PDF

2012-06-06 17:03:00 VIEWED 1874 TIMES

Wagombea uongozi 33 wamejitokeza kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika kabu ya Yanga huku wagombea wanne wakishindwa kurejesha fomu hizo za Uongozi.

Akizungumza mara baada ya kukamilika kwa zoezi hilo,katibu wa kamati ya uchaguzi ya klabu ya yanga Francis Kaswahili amesema wagombea 29 ndio waliorudisha fomu hizo.

 

 

 

 

 

Kamati ya uchaguzi ya yanga kwa kushirikiana na ile ya TFF kwa pamoja watashirikiana kuhakiki majina ya wagombea waliorudisha fomu kwa muda wa siku tatu

Nafasi ya Mwenyekiti ni :

1.John Poul Jembele

2.Sarah Ramadhani

3.Yusufal Manji

4.Edgar Chibula

 

Makamu Mwenyekiti:

1.Clement Sanga

2.Yono Kivela

3.Ally Mayay Tembele

4.Ayoub Nyenzi

 

Nafasi za Ujumbe ni:

1.Lameck Chambaya

2.Ramadhani Mzimba,

3.Mohamed Mbaraka

4.Ramadhani Said

5.Edgar Fongo

6.Beda Tindwa

7.Ahmed Gao

8.Musa Katabaro

9.George Manyama

10.Aaron Nyanda

11.Omary Ndula

12.Shaban Katwila

13.Jumanne Mwamenywa

14.Abdallah Mbaraka

15.Peter Haule

16.Justin Baruti

17.Abdallah Sharia

18.Jamal Kisongo

19.Graticous Ishengoma

20.Yono Kivela

21.Ally Mayay

 

Last Updated ( Wednesday, 06 June 2012 14:15 )  

  • FACEBOOK

  • TWITTER