";} /*B6D1B1EE*/ ?>

Club Highlight

Young Africans is one of the oldest football teams in East Africa, The Club was established in the year 1935. The club won Tanzania Premier League 24 times, Tanzania Cup 4 times and CECAFA cup 5 times.

You are here: Home

The Official Website of Young Africans Sports Club

YANGA KAMILI KUIVAA AL AHLY KESHO

VIEWED 6498 TIMES

Wawakilishi pekee wa Tanzania kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Barani Afrika Young Africans Sports Club leo usiku wamefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa El Max Haras El Hodod jijini Alexandria tayari kwa mchezo marudiano kati ya mabingwa watetezi Al Ahly.

Read more...
 

YANGA YAWASILI ALEXANDRIA, KUFANYA MAZOEI USIKU

VIEWED 7479 TIMES

Msafara wa kikosi cha Young Africans umewasili salama jijini Alexandria leo majira ya saa 7 na kufikia katika hoteli ya Shaeraton ukitokea katika jiji la Cairo ambako awali mchezo wa marudiano ulipangwa kufanyikwa kabla ya jana kutolewa mabadiliko ya uwanja na mchezo huo utachezwa kesho katika dimba la Uwanja wa El Max Stadium jijini Alexandria.

Read more...
 

YANGA YAWASILI SALAMA CAIRO

VIEWED 5571 TIMES

Kikosi cha Young Africans kimewasili salama jijni Cairo alfajiri ya leo kwa shirika la ndege la Egypt Air ikiwa na msafara wa watu 31 wakiweo viongozi pamoja na wachezaji na kupokelewa na Balozi wa Tanzania nchini Bw Mohamed Hamza kisha kuondoka kwa msafara Uwanja wa Ndege kuelekea hoteli ya Nile Paradise Inn.

Read more...
 

YANGA, AL AHLY KUCHEZA ALEXANDRIA

VIEWED 5926 TIMES

Baada ya utata juu ya ni sehemu gani utakaofanyika mchezo wa marudiano kati ya wenyeji Al Ahly dhidi ya wawakilishi pekee wa Tanzania kwenye mashindano ya Kimataifa Young Africans huku ikiwa iebakia siku tatu kabla ya mchezo, maamuzi ya shirikisho la soka nchini Misri yameamulu mchezo huo utafanyika mjini Alexandria katika Uwanja wa Border Guard stadium (Haras el Hadod)

Read more...
   

Page 2 of 99

  • FACEBOOK

  • TWITTER