Club Highlight

Young Africans is one of the oldest football teams in East Africa, The Club was established in the year 1935. The club won Tanzania Premier League 24 times, Tanzania Cup 4 times and CECAFA cup 5 times.

You are here: Home

The Official Website of Young Africans Sports Club

YOUNG AFRICANS YAICHAPA 2-1 SOFAPAKA


VIEWED 1043 TIMES

Mabingwa wa Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati na ligi kuu Tanzania bara, Young Africans Sporst Club imeifunga timu ya Sofapaka FC kutoka nchini Kenya kwa mabao 2-1.

Young Africans iliyo onyesha soka safi na kucheza pasi nyingi ilifanikiwa kujipatia bao lake la kwanza dakika ya 29 kupitia kwa mchezaji bora wa mwaka nchini Uganda (2011) Hamis Kiiza 'Diego' kwa njia ya dhabu ya penati, mara baada ya naohodha wa timu ya Sofapaka James Situma kumchezea vibaya Davies Mwape katika eneo la hatari na mwamuzi kuamuru ipigwe penati.

Read more...
 

YOUNG AFRICANS KUIVAA SOFAPAKA FC

VIEWED 1282 TIMES

 

Timu ya Young Africans Sports Club siku ya jumamosi inatarajia kucheza kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya Sofapaka FC kutoka nchini Kenya.

Mchezo huo wa kirafiki ulioandaliwa na Elite Youth Academy utafanyika katika Uwanja wa Taifa uliopo jijini Dar es salaa, kuanzia mida ya saa 10:00 jioni kwa saa za Afrika Mashariki. Young Africans itautumia mchezo huo kama maandalizi ya kujiandaa na mzunguko wa pili wa ligi ya Vodacom utakaonza tare 21 Januari 2012 na kujiandaa na mashindano ya Klabu Bingwa Afrika.

Read more...
 

KIIZA NAMED PLAYER OF THE YEAR 2011

Article hits: 949 Views.

Hamis ‘Diego’ Kiiza was on Monday named Footballer of the Year by the Uganda Sports Press Association (USPA).

The Yanga striker beat off competition from Cranes teammates Dennis Onyango (Mamelodi Sundowns, South Africa), Andy Mwesigwa (FC Ordabasy, Kazakhstan) and David Obua (Hearts, Scotland).

Read more...
 

KIM ATAJA KIKOSI CHA COSAFA

Article hits: 1074 Views.
Kocha Mkuu wa timu za Taifa za vijana, Kim Poulsen ametangaza kikosi cha wachezaji 20 wa timu ya Taifa kwa vijana chini ya miaka 20 (Ngorongoro Heroes) kitakachoshiriki michuano ya umri huo ya Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Kusini mwa Afrika (COSAFA).

Michuano hiyo itafanyika Gaborone, Botswana kuanzia Desemba 1-10 mwaka huu ikishirikisha timu za mataifa 11 wanachama wa COSAFA na Tanzania inayoshiriki kama mwalikwa.

Wachezaji walioitwa kwenye kikosi hicho ni Saleh Malande (Simba), Jackson Wandwi (Azam), Hassan Kessy (Mtibwa Sugar), Khamis Mroki (Mtibwa Suagr), Issa Rashid (Mtibwa Sugar), Said Samir (Kagera Sugar), Samuel Mkomola (Azam), Frank Domayo (JKT Ruvu Stars) na Omega Seme (Yanga0.

Wengine ni Atupele Green (Yanga), Jerome Reuben (Moro United), Simon Happygod (Azam), Ramadhan Singano (Simba), Abdallah Hussein (AFC), Rajab Mohamed (Moro United), Amani Kyata (TSA), Edward Shija (Simba), Emily Josiah (TSC Mwanza), Frank Sekule (Simba) na Hassan Dilunga (Ruvu Shooting Stars).

Read more...
   

Page 97 of 100

  • FACEBOOK

  • TWITTER