YANGA KUCHEZA NA ZAMALEKI MECHI MOJA?
2012-02-06 15:18:47 VIEWED 1971 TIMES
Uongozi wa Klabu ya Yanga imekiandikia barua Shirikisho la soka nchini TFFF kutaka mechi ya Klabu Bingwa Barani Afrika dhidi ya Zamalek ya Misri ichezwe moja kutokana na hali ya usalama uliopo nchini Misri.
Read more...



